Unyonyaji wa Vodacom umekithiri

Unyonyaji wa Vodacom umekithiri

Quality products and services are expensive. And businesses are try to adapt with the current business/economic instabilities as a result of miscalculated/misguided and poor political decisions. But you all have choices and options to choose from but fundamentally all options are the same, they are all broken i.e thieves in variety of ways so its the matter of choosing whom you think will accommodate your needs despite of the theft.
 
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza, ni mtumiaji na mteja mzuri wa huo mtandao tajwa hapo juu ila kwa sasa wanachokifanya ni unyonyaji na si kutoa huduma.

Kadri siku zinavyoenda kwa upande wangu vifurushi vyangu vinazidi kupunguzwa mpk sasa tsh 500 napata mb 50 sijui tunakomoana au sababu mna coverage kubwa lazima watu wawe na line zenu na kwa watumiaji wa smartphones tunajua kua hizo mb hazilast hata lisaa ukikaa serious kugoogle your stuffs.

Najua mtasema nihame mtandao and YES nnahama but kama mkereketwa wa hili jambo nmeona nisiliache hivyo Tu lipite pengine tukipaza hata sauti zetu tunaweza badilsha jambo mahali.

Sijui hali zenu watumiaji wa voda zipoje huko?!!!?!View attachment 1142002View attachment 1142004
Mzee mbona sasahivi mitandao iko mingi sana? Au nyie ndio wale washamba mnaoamini mkihama mitandao mtakufa?
 
Vodacom wajinga....sawa
Vodacom wapumbavu....sawa
Vodacom wezi.......sawa

Unakwenda Vodacom kufanya nini? Ridhika ba tigo iliyo nafuu na tamu na nyepesi na rahisi na yakisasa
 
Mm nimeweka Gb1 saa tatu nimewasha whatsap tu saa sita wananiambia nimetumia 90% ya bando saa nane bando kwisha naomba ushauri ni mtandao gani hawana huu ubabaishaji maana nimeweka mb50 sa iv nahisi naweza onekana kesho humu
 
Mzee mbona sasahivi mitandao iko mingi sana? Au nyie ndio wale washamba mnaoamini mkihama mitandao mtakufa?
Ingawa jibu lako halipo kiustaarabu ila nmeshajifunzaga kudeal na watu km nyinyi..nmeshahama tyri ila nlipenda kuhama kwa kelele
 
They should know how to deal with their problems na serikali na si kutukomoa na kututwika mizigo yao ila wamaxmize their profits jmn hiyo kitu hakiendan kabisa na thamn ya pesa
 
Back
Top Bottom