Godfirst
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 406
- 468
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza, ni mtumiaji na mteja mzuri wa huo mtandao tajwa hapo juu ila kwa sasa wanachokifanya ni unyonyaji na si kutoa huduma.
Kadri siku zinavyoenda kwa upande wangu vifurushi vyangu vinazidi kupunguzwa mpk sasa tsh 500 napata mb 50 sijui tunakomoana au sababu mna coverage kubwa lazima watu wawe na line zenu na kwa watumiaji wa smartphones tunajua kua hizo mb hazilast hata lisaa ukikaa serious kugoogle your stuffs.
Najua mtasema nihame mtandao and YES nnahama but kama mkereketwa wa hili jambo nmeona nisiliache hivyo Tu lipite pengine tukipaza hata sauti zetu tunaweza badilsha jambo mahali.
Sijui hali zenu watumiaji wa voda zipoje huko?!!!?!
Kadri siku zinavyoenda kwa upande wangu vifurushi vyangu vinazidi kupunguzwa mpk sasa tsh 500 napata mb 50 sijui tunakomoana au sababu mna coverage kubwa lazima watu wawe na line zenu na kwa watumiaji wa smartphones tunajua kua hizo mb hazilast hata lisaa ukikaa serious kugoogle your stuffs.
Najua mtasema nihame mtandao and YES nnahama but kama mkereketwa wa hili jambo nmeona nisiliache hivyo Tu lipite pengine tukipaza hata sauti zetu tunaweza badilsha jambo mahali.
Sijui hali zenu watumiaji wa voda zipoje huko?!!!?!