jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
unyanyasaji huu wa kijinsia mpaka lini? Tafakari, chukua hatua.
Duuuh! very sad, Naona anayenyanyasika zaidi ni huyo mtoto aliyeshikwa kama pazi na jogoooo.
Hapo ulipooooooooooo!,,,jogoo aliesema.
@Young_Master kama ni huku ulaya huyu jamaa anakwenda Lupango kwa kosa la kumshika mtoto vibaya kama gunia la muhogo na kwa kumpiga mama mtoto anakwenda jela mwaka 1 huko nyumbani Wanaume tunawaonea sana wanawake huku kuna haki ya mtoto na mke wewe Mwanamme huna ruhusa kumpiga mtoto wala mke wako utakwenda jela ukifanya hivyo.Duh! Huyu jamaa naona ana roho kama Kongosho. Yaani anamshika mtoto kama sanduku!!!
MS hivi una umri gani?Hata chadema wananyanyaswa, mbona hujaweka picha?
Alizaliwa tarehe 5/2/1977 (siku ilipoanza CCM) msamehe bure.MS hivi una umri gani?