Unyanyapaa wa Chadema

Unyanyapaa wa Chadema

Chadema inaonekana kuwa makini sana pale bungeni na hata kwenye mahojiano na vyombo vya habari na wamekuwa hawasikii ,wakiambiwa wakielekezwa wanakuwa na misimamo isiyoambilika.Wanajiona wao ni wao hizi ni kasumba za Mwalimu Nyerere kiasi kufika kuitwa baba haambiliki ,jina ambalo alilichukia sana.

Safu hii ya Chadema iwapo watafanikiwa kuongoza dola hii,(Inshaallah wafanikiwe) tumeichoka CCM,kuna uwezekano kuiendesha au kuiongoza Tanzania kama itakuwepo kwa kutumia utawala wa kidikteta ni kushinda CCM ,bila ya shaka kutaiweka nchi katika woga na uhuru wa mwananchi utakuwa finyu.

Sioni busara yeyote ile wanayoitumia pale bungeni ,sioni hekima yeyote ile wanayoitumia katika lugha dhidi ya vyombo vya dola ,hivi wanataka kutuambia watakapo ingia katika duru ya kuiongoza Tz watavunja vyombo hivi wanavyovidharau na kuona haviwatendei haki.

Unyanyapaa huu wa kuvikomalia vyombo vya dola na kuvibeza ni jambo linalotia hofu sana.

Mkuu ukiendelea kuwa na bahati wataendelea kutiririsha ulevi wao huohuo mpaka pale watakaporidhika,lkn bahati ikikupungukia utakoga mitusi wewe mpk ujute kuja na thread hii,hawa ndo CDM wa JF bwana,Viumbe wanaoamini kuwa wao mpaka Viongozi wao ni Malaika wasio na mapungufu hata chembe.
All in all nimekukubali wewe ni MWIBA na umewachoma,wakubali wakatae.
 
Mkuu ukiendelea kuwa na bahati wataendelea kutiririsha ulevi wao huohuo mpaka pale watakaporidhika,lkn bahati ikikupungukia utakoga mitusi wewe mpk ujute kuja na thread hii,hawa ndo CDM wa JF bwana,Viumbe wanaoamini kuwa wao mpaka Viongozi wao ni Malaika wasio na mapungufu hata chembe.
All in all nimekukubali wewe ni MWIBA na umewachoma,wakubali wakatae.

huwezi amini spika baada ya kuona laana inamjia amewaomba wabunge watoe posho zao ziende kwenye maafa kule zenj

unalionaje hili swala je litamsaidia kuondoa laana?
 
Mwiba, pole kwa hayo majibu, lakini kitu isicho fichika jeshi la polisi ni sehemu kubwa ya matatizo ya nchi hii:sasa unafiki hautakiwi katika kutetea masli ya taifa hili au kwasababu wana bunduki. na siyo zambi kuingia kwenye utawala na kubadilisha uongozi wa jeshi inawezekana... ni ukweli tu ndiyo utaokoa taifa letu lanye uchungu mwingi sana na watu wanafki kama nyie mnashindwa kulisemea kwasababu hao ni polisi. haujui kama kuna baadhi ya mapolisi wana shilikiana na majambazi have a gooday
 
Chadema inaonekana kuwa makini sana pale bungeni na hata kwenye mahojiano na vyombo vya habari na wamekuwa hawasikii ,wakiambiwa wakielekezwa wanakuwa na misimamo isiyoambilika.Wanajiona wao ni wao hizi ni kasumba za Mwalimu Nyerere kiasi kufika kuitwa baba haambiliki ,jina ambalo alilichukia sana.

Safu hii ya Chadema iwapo watafanikiwa kuongoza dola hii,(Inshaallah wafanikiwe) tumeichoka CCM,kuna uwezekano kuiendesha au kuiongoza Tanzania kama itakuwepo kwa kutumia utawala wa kidikteta ni kushinda CCM ,bila ya shaka kutaiweka nchi katika woga na uhuru wa mwananchi utakuwa finyu.

Sioni busara yeyote ile wanayoitumia pale bungeni ,sioni hekima yeyote ile wanayoitumia katika lugha dhidi ya vyombo vya dola ,hivi wanataka kutuambia watakapo ingia katika duru ya kuiongoza Tz watavunja vyombo hivi wanavyovidharau na kuona haviwatendei haki.

Unyanyapaa huu wa kuvikomalia vyombo vya dola na kuvibeza ni jambo linalotia hofu sana.

Weye ulitaka wafanyeje kama wapinzani mathalan? au hivi vyombo vya dola weye unadhani vilipaswa viweje?
 
Chadema inaonekana kuwa makini sana pale bungeni na hata kwenye mahojiano na vyombo vya habari na wamekuwa hawasikii ,wakiambiwa wakielekezwa wanakuwa na misimamo isiyoambilika.Wanajiona wao ni wao hizi ni kasumba za Mwalimu Nyerere kiasi kufika kuitwa baba haambiliki ,jina ambalo alilichukia sana.

Safu hii ya Chadema iwapo watafanikiwa kuongoza dola hii,(Inshaallah wafanikiwe) tumeichoka CCM,kuna uwezekano kuiendesha au kuiongoza Tanzania kama itakuwepo kwa kutumia utawala wa kidikteta ni kushinda CCM ,bila ya shaka kutaiweka nchi katika woga na uhuru wa mwananchi utakuwa finyu.

Sioni busara yeyote ile wanayoitumia pale bungeni ,sioni hekima yeyote ile wanayoitumia katika lugha dhidi ya vyombo vya dola ,hivi wanataka kutuambia watakapo ingia katika duru ya kuiongoza Tz watavunja vyombo hivi wanavyovidharau na kuona haviwatendei haki.

Unyanyapaa huu wa kuvikomalia vyombo vya dola na kuvibeza ni jambo linalotia hofu sana.

kupuuuuuzwaaaaaaa ni kubaya sana. Kuna uma sana
 
Obviously chama tawala na serikali yake ndio mwajiri wao. besides watatendaje fairness kwa watu wanaowadharau? wakati mwingine inabidi uonje joto la kiongozi dhaifu!
 
Siku zote hesabu zangu mimi ni katika Chadema 10 mwenye akili timamu anaweza kupatikana mmoja tu na hii ni kuanzia Viongozi,Wanachama,hadi mashabiki....unaweza mwenyewe kupanga safu ya Viongozi wa Chadema unaowaona mashuhuri(siyo lazima iwe in a positive way) wa'list katika 10,timamu anaweza kuwa mmoja tu....kati ya Wa'CDM 10 waliochangia katika thread hii wewe ndo yule mmoja out of those 10,yaani wengine wanasikitisha kabisa...hoja imewekwa badala ya kuchangia vitu vya maana wao wanaonyesha ulevi,na hivihivi ndo Viongozi wao walivyo ndo maana utasikia mara "funga mlango tupigane" nitamzuia Rais asije Arumeru" na ***** mwingine mwingi tu,kwakweli inaogopesha sana kama hawa ndo tunaotaka kuwakabidhi dola mwaka 2015
Kidogo umenisifia hapo hapo ukanigonga kirungu.
Mimi ni mfuasi wa Jf kwa muda sasa na kuna wakati natamani kujitoa kwani inaelekea kuna baadhi ya watu kwa maksudi wanalishushia hadhi jamvi letu.
Naamini ya kuwa mtu anayepost kitu hapa angalau ana uelewa wa computer na pia ana access na internet na kwa nchi yetu idadi hiyo ni ndogo hivyo basi washiriki ni class kidogo tofauti na most of the people.
Inasikitisha kuona watu wanavyomwaga ***** humu.
Tuvumilie nahisi ni transition na mwisho tutapata cream ya wachangiaji.
 
Unataka wavimwagie misifa ya kinafiki?
Acha ngonjera za kinafiki mkuu
 
Baba v kwani ni nani aliye kuwa wa kwanza kuomba muongozo kabla ya spika kula matapishi yake!

Unajua lukuvi amemuaokoa makinda kwenye laana!
Si huyu Hemed Rashid! yeye akainuka akasema "Mh.Spika...kwa busara yako naomba .................."
 
Wewe unayoandika haya ndo limbukeni,usioneshe ushabiki wa waziwazi kwa CCM,unajua nikueleweshe haitakaa itokee Tanzania ikaongozwa na CCM milele,lazima ujue kwamba watu wanataka mambadiliko,na mabadiliko yenyewe ni magumu,sio kitu rahisi,hili ni lazima ulielewe mimi sio mshabiki wa chama chochote na wala sina kadi ya chama chochote,ila nitapigia au kussuport chama ambacho kinamuelekeo wa kuleta mabadiliko,nchi za ulaya nadhani ungeweza kupata picha halisi ya jinsi watu wanavyofanya,kwahiyo kashfa hapa sio tija,ni kukubaliana na matokeo
 
Naona jinsi wanachama na wapenzi wa CDM mnavyochangia ,halafu ndio mpewe nchi ,ni bora CCM ikazuia hapohapo ,bado hamjafikia kuachiwa nchi mkaongoza ,mmechooka kwelikweli ,hamna kitu vichwa vitupu na mawazo mgando ,angalau mmepata cha kuandika.

Haya subirini 2015 ,mushuhudie CCM inavyoibuka kidedea.na ndio mwisho wa CDM.

Sasa unachotaka ni nini? su umeshaambiwa kila kitu kipo mahakamani. GAMBA MKUBWA WE.
 
Wacheni ulimbukeni yaani mnajificha kwa kutafuta yasiyohusika,najua nimewagusa vibaya sana ,na zaidi nyie wafuata upepo na wapiga debe mna tabu sana hapa JF,yaani kama mimi ndio mode hawa wenye majibu yasioeleweka,
ningewavunja vidole na kuwatia upofu ,wasiione JF kama mwezi hivi.

Suali lipo wazi ,ni kujibu tu hii Nchi mnaipeleka wapi ikiwa leo hamjui mtendalo,magwanda mazito ,mnatuonyesha ubabe au sio ,CCM yao ya kijani nyie yenu makaki mnataka kuifanyia makeniki na ukarabati hii nchi.

hayo magwanda huvaliwa na madikteta na sera za unyanyapaa pale bungeni na kuvikandia vyombo vya dola ni ishara mbaya za utawala wenu,hivi mtaunda jeshi jipya na usalama mpya ,mmewaahidi wangapi pale usalama wa Taifa kuwapa ulaji ,mnaipeleka nchi hii kubaya zaidi ya hapa tulipo.

hapo kwenye RED pananifanya nikuhisi na wewe ni mmoja wa watesaji wa dr. Ukimboka, manake hizo style za mateso ndio zile zile! shindwa ktk jina la wapinga CCM.
 
​niko kusini ngoja nikale samaki nchanga mie sionni cha maana hapo
Chadema inaonekana kuwa makini sana pale bungeni na hata kwenye mahojiano na vyombo vya habari na wamekuwa hawasikii ,wakiambiwa wakielekezwa wanakuwa na misimamo isiyoambilika.Wanajiona wao ni wao hizi ni kasumba za Mwalimu Nyerere kiasi kufika kuitwa baba haambiliki ,jina ambalo alilichukia sana.

Safu hii ya Chadema iwapo watafanikiwa kuongoza dola hii,(Inshaallah wafanikiwe) tumeichoka CCM,kuna uwezekano kuiendesha au kuiongoza Tanzania kama itakuwepo kwa kutumia utawala wa kidikteta ni kushinda CCM ,bila ya shaka kutaiweka nchi katika woga na uhuru wa mwananchi utakuwa finyu.

Sioni busara yeyote ile wanayoitumia pale bungeni ,sioni hekima yeyote ile wanayoitumia katika lugha dhidi ya vyombo vya dola ,hivi wanataka kutuambia watakapo ingia katika duru ya kuiongoza Tz watavunja vyombo hivi wanavyovidharau na kuona haviwatendei haki.

Unyanyapaa huu wa kuvikomalia vyombo vya dola na kuvibeza ni jambo linalotia hofu sana.
 
Chadema inaonekana kuwa makini sana pale bungeni na hata kwenye mahojiano na vyombo vya habari na wamekuwa hawasikii ,wakiambiwa wakielekezwa wanakuwa na misimamo isiyoambilika.Wanajiona wao ni wao hizi ni kasumba za Mwalimu Nyerere kiasi kufika kuitwa baba haambiliki ,jina ambalo alilichukia sana.

Safu hii ya Chadema iwapo watafanikiwa kuongoza dola hii,(Inshaallah wafanikiwe) tumeichoka CCM,kuna uwezekano kuiendesha au kuiongoza Tanzania kama itakuwepo kwa kutumia utawala wa kidikteta ni kushinda CCM ,bila ya shaka kutaiweka nchi katika woga na uhuru wa mwananchi utakuwa finyu.

Sioni busara yeyote ile wanayoitumia pale bungeni ,sioni hekima yeyote ile wanayoitumia katika lugha dhidi ya vyombo vya dola ,hivi wanataka kutuambia watakapo ingia katika duru ya kuiongoza Tz watavunja vyombo hivi wanavyovidharau na kuona haviwatendei haki.

Unyanyapaa huu wa kuvikomalia vyombo vya dola na kuvibeza ni jambo linalotia hofu sana.
Unashauri watumie mbinu gani wakati wananyanyapaliwa na vyombo vya dola kama polisi? Hebu tuambie njia nzuri ni ipi ili tuwashauri na ikishindikana basi tujue hawatufai..
 
Wewe ni.............


561187_418391598203412_2118908935_n.jpg


Na unatumia kitu hii hapa chini kufikiri.............

319760_212685585507228_100002973633374_370992_2126245385_n.jpg
 
Back
Top Bottom