Unyanyapaa wa Chadema

chadema ndo walimshawishi baba wa taifa na karume kuform muungano alafu wamezificha HATI ofisini kwao..ACP msangi kaombwa kulifuatilia swala hili kwa umakini,
 
kwa mtazamo wangu finyu na ufaham wangu mdogo wa siasa naamini ili tanzania iendelee tunahitaji raisi dikteta mwenye amri na sauti na uwezo wa kufanya maamuz magumu lakini pia awe na mapenzi na nchi na wananchi wake katika namna yenye mipaka na uadilifu.

Nakubaliana na wewe ,ila hapo penye dikteta sio sahihi,kiongozi mzuri ni yule anaeweza kufanya maamuzi panapohitajika na zaidi awe mfuatiliaji ,mbali ya kuambiwa na kuletewa habari awe anayakabili malalamiko na kuyafanyia kazi na ahakikishe alichokiagiza kinatekelezwa ndani ya kipindi kifupi sana.

sasa huu Uchadema wa kutokubali kusikiliza na kukandia vyombo vya dola bila ya kutoa miongozo nini kifanyike ni ubinafsi ,hawa wakichukua serikali basi ule usifa wa kisiwa cha amani utatokomea ,polisi usalama wa Taifa hautakuwa tena na manufaa kwa watz bali utatumika zaidi kuulinda Uchadema kuliko tunavyoona leo jinsi CCM inavyofaidika na vyombo hivi.

Hapa tulipo CM wanajaribu kutaka kuviteka vyombo vyote vya dola.
 
Chadema inaonekana kuwa makini sana pale bungeni na hata kwenye mahojiano na vyombo vya habari na wamekuwa hawasikii ,wakiambiwa wakielekezwa wanakuwa na misimamo isiyoambilika.Wanajiona wao ni wao hizi ni kasumba za Mwalimu Nyerere kiasi kufika kuitwa baba haambiliki ,jina ambalo alilichukia sana.

Safu hii ya Chadema iwapo watafanikiwa kuongoza dola hii,(Inshaallah wafanikiwe) tumeichoka CCM,kuna uwezekano kuiendesha au kuiongoza Tanzania kama itakuwepo kwa kutumia utawala wa kidikteta ni kushinda CCM ,bila ya shaka kutaiweka nchi katika woga na uhuru wa mwananchi utakuwa finyu.

Sioni busara yeyote ile wanayoitumia pale bungeni ,sioni hekima yeyote ile wanayoitumia katika lugha dhidi ya vyombo vya dola ,hivi wanataka kutuambia watakapo ingia katika duru ya kuiongoza Tz watavunja vyombo hivi wanavyovidharau na kuona haviwatendei haki.

Unyanyapaa huu wa kuvikomalia vyombo vya dola na kuvibeza ni jambo linalotia hofu sana.
Tunawapa CDM uongozi 2015, wala hilo halibishaniwi. Lakini watakapoongoza wakashindwa kuwashitaki watu kama IGP Mwema kwa mauaji ya Arusha, Makinda kwa kushindwa kuongoza bunge ili tuone kama anastahili hadhi ya Spika mstaafu, hawa wote waliotuangamiza kwa mikaataba ya ovyo, itabidi tuwapige viongozi wa CDM kwa maawe hadi wafe.
 
Naona jinsi wanachama na wapenzi wa CDM mnavyochangia ,halafu ndio mpewe nchi ,ni bora CCM ikazuia hapohapo ,bado hamjafikia kuachiwa nchi mkaongoza ,mmechooka kwelikweli ,hamna kitu vichwa vitupu na mawazo mgando ,angalau mmepata cha kuandika.

Haya subirini 2015 ,mushuhudie CCM inavyoibuka kidedea.na ndio mwisho wa CDM.

baada ya hapo Nchimbi akaomba muongozo kuahirisha bunge,Werema alicheka sana na kuanza kupiga meza ishara ya kukubaliana nae
 
Nakubaliana na wewe ,ila hapo penye dikteta sio sahihi,kiongozi mzuri ni yule anaeweza kufanya maamuzi panapohitajika na zaidi awe mfuatiliaji ,mbali ya kuambiwa na kuletewa habari awe anayakabili malalamiko na kuyafanyia kazi na ahakikishe alichokiagiza kinatekelezwa ndani ya kipindi kifupi sana.

sasa huu Uchadema wa kutokubali kusikiliza na kukandia vyombo vya dola bila ya kutoa miongozo nini kifanyike ni ubinafsi ,hawa wakichukua serikali basi ule usifa wa kisiwa cha amani utatokomea ,polisi usalama wa Taifa hautakuwa tena na manufaa kwa watz bali utatumika zaidi kuulinda Uchadema kuliko tunavyoona leo jinsi CCM inavyofaidika na vyombo hivi.

Hapa tulipo CM wanajaribu kutaka kuviteka vyombo vyote vya dola.

hivi unkumbuka kuwa leo ni besdei ya Jack Zoka ??umealikwa TISS ??
 
Wacheni ulimbukeni yaani mnajificha kwa kutafuta yasiyohusika,najua nimewagusa vibaya sana ,na zaidi nyie wafuata upepo na wapiga debe mna tabu sana hapa JF,yaani kama mimi ndio mode hawa wenye majibu yasioeleweka,ningewavunja vidole na kuwatia upofu ,wasiione JF kama mwezi hivi.

Suali lipo wazi ,ni kujibu tu hii Nchi mnaipeleka wapi ikiwa leo hamjui mtendalo,magwanda mazito ,mnatuonyesha ubabe au sio ,CCM yao ya kijani nyie yenu makaki mnataka kuifanyia makeniki na ukarabati hii nchi.

hayo magwanda huvaliwa na madikteta na sera za unyanyapaa pale bungeni na kuvikandia vyombo vya dola ni ishara mbaya za utawala wenu,hivi mtaunda jeshi jipya na usalama mpya ,mmewaahidi wangapi pale usalama wa Taifa kuwapa ulaji ,mnaipeleka nchi hii kubaya zaidi ya hapa tulipo.

great makina xana mwandishi ya2pasa wote kufikiri kwa makini co kushabikia c a sa,2nadumazwa fikra na wa2 wachache.2nakataa u2mwa wa fikra wa wa2 wa nje ndani 2nakubali 2ondoe dhana ya kwamba cc na wafinyu ktk fikra!
 
Naona jinsi wanachama na wapenzi wa CDM mnavyochangia ,halafu ndio mpewe nchi ,ni bora CCM ikazuia hapohapo ,bado hamjafikia kuachiwa nchi mkaongoza ,mmechooka kwelikweli ,hamna kitu vichwa vitupu na mawazo mgando ,angalau mmepata cha kuandika.

Haya subirini 2015 ,mushuhudie CCM inavyoibuka kidedea.na ndio mwisho wa CDM.

Hapo kwenye red, pananikumbusha jana spika Anne Makinda alivyosema kuwa bunge liendelee wakati alijua kabisa kuwa kuna msiba mkubwa umetokea Zanzibar.
Hapo ndio wabunge wote toka Zanzibar na wa upinzani wakaamua kutoka ukumbini.
Kweli nchi hii haina viongozi wanaojali wananchi. Yaani wananchi wanakufa, Anne Makinda hajali kabisa.
 
Wacheni ulimbukeni yaani mnajificha kwa kutafuta yasiyohusika,najua nimewagusa vibaya sana ,na zaidi nyie wafuata upepo na wapiga debe mna tabu sana hapa JF,yaani kama mimi ndio mode hawa wenye majibu yasioeleweka,ningewavunja vidole na kuwatia upofu ,wasiione JF kama mwezi hivi.

Suali lipo wazi ,ni kujibu tu hii Nchi mnaipeleka wapi ikiwa leo hamjui mtendalo,magwanda mazito ,mnatuonyesha ubabe au sio ,CCM yao ya kijani nyie yenu makaki mnataka kuifanyia makeniki na ukarabati hii nchi.

hayo magwanda huvaliwa na madikteta na sera za unyanyapaa pale bungeni na kuvikandia vyombo vya dola ni ishara mbaya za utawala wenu,hivi mtaunda jeshi jipya na usalama mpya ,mmewaahidi wangapi pale usalama wa Taifa kuwapa ulaji ,mnaipeleka nchi hii kubaya zaidi ya hapa tulipo.

...ukimaliza kuandika uwe unajari kusoma kile ulichokiandika,nina amaini utagundua kitu!...
 
mama Kinda nasema bunge litaendelea mpende msipende hata kama wapemba wamekufa kwanza wapemba si watu nani kasema wapemba wako kwenye hesabu za watz,Lukuvi mheshimiwa muongozo, kwanza meli haijazama hizi ni taarifa za uongo na uzushi wa CHADEMA wanataka umaarufu naomba bunge liendelee,Werema akasimama mheshimiwa Kinda kuna taarifa za ndani kuwa CHADEMA wamehusika na kuzamisha meli kule zanzibari ila hili jambo liko mahakamani lisijadiliwe

Kinda -bunge linaendeleaaaaaaaaaaaa
 
Eebanae wakuu msisahau bado birthday ya Mzee Mandela inaendelea!! Mlioko Sowetto na J'burg tupeni updates!!
 
Hapo kwenye red, pananikumbusha jana spika Anne Makinda alivyosema kuwa bunge liendelee wakati alijua kabisa kuwa kuna msiba mkubwa umetokea Zanzibar.
Hapo ndio wabunge wote toka Zanzibar na wa upinzani wakaamua kutoka ukumbini.
Kweli nchi hii haina viongozi wanaojali wananchi. Yaani wananchi wanakufa, Anne Makinda hajali kabisa.

una uhakika gani kuwa na hao kwenye red walitoka.wakati kwenye hotuba zao wanasema hawaitaki zanzibar
 
Hizi single za kupakana matope tumeishazizoea! Chadem mwendo mdundo, tuchape kazi!
 
Back
Top Bottom