Pics
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 241
- 181
Nimebahatika kushuhudia minada ya vifaa chakavu vya TANESCO. Masasi na Tunduru ambayo pia imefanyika Lindi. Na inaendelea Songea, Njombe nk. Kiuhalisia hakuna mnada Ni wizi, kinachofanyika washiriki wa mnada wanakutana na kukubaliana Nani anunue kwa makubaliano. Siku moja kabla wanathathimini anayeubali kuwalipa washiriki wa mnada kiasi kikubwa anaachiwa mzigo akibaliana Bei gani anunue mnadani, wanakuwa wasindikizaji tu kwenye mnada.
Wanazunguka minada you na utaratibu Ni huuhuu. Inaweza tokea wanunuaji wakaongezeka lakini makubaliano Ni hayahaya. Hili linawezekana kwa sababu ya masharti ya mnada lazima uwe na vibali vya NEMC. Inapelekea washiriki kuwa wachache sana tofauti na minada mingine, hii inakosesha mapato Tanesco na Serikali kwa kuondoa ushindani wa haki. Mali ambazo Tanesco ingeweza kupata badala milioni 100 inaambulia milioni 4.
Mnunuzi anawalipa washiriki wenzake biashara imeisha. Ukifuatlia utaona hii minada washiriki Ni walewale, wengi wao hawana uwezo wa kununua wameomba vibali kwa wenye vibali vya NEMC wanashiriki kuharibu minada kwa kulipwa na mnunuzi halisi. Kumbuka hivi vibali kukata Ni Zaid ya milioni 20 (Nemc)kabla ya TRA, halmashauri. Wengi ni wenye viwanda na wanunuzi wakubwa Dar ambao hawaendi minadani .
Ushauri Tanesco jaribuni kuweka mnada wa wazi mtaona tofauti kubwa. Watu walio katika maeneo inayofanyika minada wana uwezo wa kununua kwa Bei kubwa itakayofaidisha Tanesco. Kikwazo vibali vya NEMC (mazingira)kihalisia hakina umuhimu mpaka mtu anayesafirisha.
Wanazunguka minada you na utaratibu Ni huuhuu. Inaweza tokea wanunuaji wakaongezeka lakini makubaliano Ni hayahaya. Hili linawezekana kwa sababu ya masharti ya mnada lazima uwe na vibali vya NEMC. Inapelekea washiriki kuwa wachache sana tofauti na minada mingine, hii inakosesha mapato Tanesco na Serikali kwa kuondoa ushindani wa haki. Mali ambazo Tanesco ingeweza kupata badala milioni 100 inaambulia milioni 4.
Mnunuzi anawalipa washiriki wenzake biashara imeisha. Ukifuatlia utaona hii minada washiriki Ni walewale, wengi wao hawana uwezo wa kununua wameomba vibali kwa wenye vibali vya NEMC wanashiriki kuharibu minada kwa kulipwa na mnunuzi halisi. Kumbuka hivi vibali kukata Ni Zaid ya milioni 20 (Nemc)kabla ya TRA, halmashauri. Wengi ni wenye viwanda na wanunuzi wakubwa Dar ambao hawaendi minadani .
Ushauri Tanesco jaribuni kuweka mnada wa wazi mtaona tofauti kubwa. Watu walio katika maeneo inayofanyika minada wana uwezo wa kununua kwa Bei kubwa itakayofaidisha Tanesco. Kikwazo vibali vya NEMC (mazingira)kihalisia hakina umuhimu mpaka mtu anayesafirisha.