Ununuzi wa guitar- Naomba ushauri

Ununuzi wa guitar- Naomba ushauri

balzac

Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
83
Reaction score
29
Naomba ushauri kwa wenye utaalam ni aina ipi ya acoustic guitar nzuri inapatikana madukani hapa dar na ni vitu gani vya muhimu kuangalia wakati wa kuchagua guitar.Mimi si mtaalam, just najifunza tu na ni kwa matumizi yangu binafsi ( sio kwa ajili ya public performance ) . thanks!
 
Back
Top Bottom