Katika tamko la Waziri wa Nishati na Madini la kudhibitisha kufungwa kwa mjadala wa Serikali kununua mitambo ya Dowans na badala yake Serikali inafanya mpango wa kununua mitambo mipya yenye uwezo wa kuzalisha Megawati 150,Waziri alielezea kushangazwa kwake na kamati ya Bunge kukataa kununuliwa kwa mitambo ya Dowans iliyotumika lakini siku za nyuma ilikubali kununuliwa kwa mitanbo ya IPTL ambayo nayo imekwishatumika.
Je mitambo ya IPTL ilikuwa na mlolongo wa matatizo kama ilivyo ya Dowans na kama ni tofauti Waziri hajui,wana JF karibuni tuelimishane.
Je mitambo ya IPTL ilikuwa na mlolongo wa matatizo kama ilivyo ya Dowans na kama ni tofauti Waziri hajui,wana JF karibuni tuelimishane.