ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,621
- 2,425
Habari za Asubuhi Wapwa?
Naombeni nilete kitu kwenu, mimi ni mtumiaji mzuri wa unofficial WhatsApp kama vile Yo WhatsApp , FM WhatsApp, GB WhatsApp , shida imekuja jana baada ya simu yangu kuwa inaniletea ujumbe unaosema niiondoe kwenye simu hii Yo WhatsApp kuwa ina virus,lakini niliiondoa simu ikiaacha kuleta ujumbe huo, ila mimi napenda sana kutumia unofficial huwa najihisi niko dunia tofauti, nimejaribu kudownload upya mambo ni yale yale ila nikichukua ya play store hakuna ujumbe wowote na simu inaonekana iko safety.
Wadau nanyi mmekumbana na issue kama hii?
Naombeni nilete kitu kwenu, mimi ni mtumiaji mzuri wa unofficial WhatsApp kama vile Yo WhatsApp , FM WhatsApp, GB WhatsApp , shida imekuja jana baada ya simu yangu kuwa inaniletea ujumbe unaosema niiondoe kwenye simu hii Yo WhatsApp kuwa ina virus,lakini niliiondoa simu ikiaacha kuleta ujumbe huo, ila mimi napenda sana kutumia unofficial huwa najihisi niko dunia tofauti, nimejaribu kudownload upya mambo ni yale yale ila nikichukua ya play store hakuna ujumbe wowote na simu inaonekana iko safety.
Wadau nanyi mmekumbana na issue kama hii?