Unmarried and over 30 looking for "mr right"

We piga ndondo tu
 
Baada ya miaka mitano wewe ulieoa under 30 uje hapa utupe mrejesho wa ndoa yako kama hautakuwa kitandani umeparalyse kwa stress za ndoa.ulaaniwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tehee hee hakuna kisasi nacholipa ila natoa tahadhari kwa wanawake ambao ni dada zetu mnapotea.
Hiyo tehee huwa naioa kwenye texts za wakina dada ninaochat. Na wewe ni mdada?
 
Watu wengi wanafikiri wadada wote wenye 30+ hawajaolewa eti sababu walicheza na ujana. Si wote, tena kuna wengine ni innocent kabisa, au kuna mwanaume alimpotezea muda........ Acha watu waishi maisha yao, mbona agemate wakifa hatujilaumu sisi? Ila tuna wasumbua watu kuona agents wao wameolewa!
 
Au tuloolewa na 26 hatukui tukafikia 30 kwenda mbele๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Itakua kaachwa uyu si bure
Watu wanazaa na miaka 45...
 
Mwenzangu, Sinach ameolewa akiwa na 39 yrs, kapata mtoto Wa kwanza mwaka huu Alisa na 45 yrs. Halafu kuwa single kuna ndoa kuvunjika, kufiwa nk, lakini yote yanaonekana ni matatizo ya wanawake, mfyuรบu!
Au tuloolewa na 26 hatukui tukafikia 30 kwenda mbele๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Itakua kaachwa uyu si bure
Watu wanazaa na miaka 45...
 
Mwenzangu, Sinach ameolewa akiwa na 39 yrs, kapata mtoto Wa kwanza mwaka huu Alisa na 45 yrs. Halafu kuwa single kuna ndoa kuvunjika, kufiwa nk, lakini yote yanaonekana ni matatizo ya wanawake, mfyuรบu!
Watu hawajui tu life begins at 30 plus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ