e2themiza
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 974
- 563
Habari zenyu wana jamii kama kawa nimekuja na vitu ni share na wanajamii wenzangu nimeona ili tatizo hau hii kitu kimetesa sana watu sana
sana walionunua modem za tigo hivi karibun na kutaka ku unlock kuweza kutumia airtel well it is possible lakini hii ni temporarily lazima ufaute
some procedures and ur good to go procedure easy na kadogo 2 hii kitu nakumbuka kilishaelezewa hapa na mkuu SHAROBARo but kukawa
na som issues missing au kutokueleweka kwa njia moja au nyingine ambapo tatizo ilikuwa ni kwenye kuupdate FIRMWARE well hii procedure ni
takayotoa hapa hauta update firmware utaitumia hyo hyo and it will work nimeambatamisha maelezo na picha apo chini ili iweze kueleweka
modem ninayozugumzia ni huawei e153 model(e153u-1) ambayo ni customized firmware au kwa namna nyigine ni kuwa haiwezi kunlokiwa
kwa njia zile za mwanzo za kawaida au ku permanately unlock it... sasa kwanza weka line ya airtel kwenye modem then i connect na computer
yako then utaona imeleta message ifuatayo;
Then download hii software kutoka hapa Download Modem Unlock Com Huawei Unlocker usb driver zip apo chagua free download and utaingiza code utasubiri kwanza kwa 40 seconds then utaclick download then utasubiri kwa 10 seconds and the itaanza kudownload ikishamaliza extract then open it halafu fuata maelezo hapo chini;
SASA the first thing ambacho tunatakiwa kufanya ni kui counter reset ambapo hizi modem zote zimekuwa counter blocked so hapa ni muhimu sana chakufanya
Then sasa twaja mahali muhimu kwanza
kisha italeta hivi
SASA rudi tena kwa kuclick UNLOCK MODEM then SERVICE tena the subiri kidogo and sasa italeta hivi
SASA mpaka apo ur good to go na as u can see ukifungua mobile patner hailet error tena kama apo chini
OK I HOPE MTAFANIKIWA AND UKIKWAMA KOKOTE USISITE KUULIZA AND UTASAIDIWA vile vile package ya airtel ni 2500/= ambapo weka
salio hyo kwenye 4ne and tuma msg yenye neno intaneti kwenda 15444 utapewa msg utanconfirm utajibu ndiyo and ur good to go ambapo
package hyo unapta 400mb kwa siku 30 vile vile ikifika saa sita usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi airtel ni free kabisa ambapo unapata
200mb CHEERS! people am out.
sana walionunua modem za tigo hivi karibun na kutaka ku unlock kuweza kutumia airtel well it is possible lakini hii ni temporarily lazima ufaute
some procedures and ur good to go procedure easy na kadogo 2 hii kitu nakumbuka kilishaelezewa hapa na mkuu SHAROBARo but kukawa
na som issues missing au kutokueleweka kwa njia moja au nyingine ambapo tatizo ilikuwa ni kwenye kuupdate FIRMWARE well hii procedure ni
takayotoa hapa hauta update firmware utaitumia hyo hyo and it will work nimeambatamisha maelezo na picha apo chini ili iweze kueleweka
modem ninayozugumzia ni huawei e153 model(e153u-1) ambayo ni customized firmware au kwa namna nyigine ni kuwa haiwezi kunlokiwa
kwa njia zile za mwanzo za kawaida au ku permanately unlock it... sasa kwanza weka line ya airtel kwenye modem then i connect na computer
yako then utaona imeleta message ifuatayo;
Then download hii software kutoka hapa Download Modem Unlock Com Huawei Unlocker usb driver zip apo chagua free download and utaingiza code utasubiri kwanza kwa 40 seconds then utaclick download then utasubiri kwa 10 seconds and the itaanza kudownload ikishamaliza extract then open it halafu fuata maelezo hapo chini;
SASA the first thing ambacho tunatakiwa kufanya ni kui counter reset ambapo hizi modem zote zimekuwa counter blocked so hapa ni muhimu sana chakufanya
Then sasa twaja mahali muhimu kwanza
kisha italeta hivi
SASA rudi tena kwa kuclick UNLOCK MODEM then SERVICE tena the subiri kidogo and sasa italeta hivi
Sasa inasema SIM in modem is ACCEPTED na pia inasema kuwa ONLY TEMPRORAY UNLOCK na pia kuwa modem will relock after.. inamaanisha
ukichomoa modem itajilock tena so what to do ni kufungua hii software na kuclick UNLOCK MODEM then SERVICE kama izo picha nne zilizo pita and
then ukiona imekwisha kwambia kama apo juu chakufanya nikufungua mobile patner ya tigo and use it as long as hauchomoi modem
SASA mpaka apo ur good to go na as u can see ukifungua mobile patner hailet error tena kama apo chini
OK I HOPE MTAFANIKIWA AND UKIKWAMA KOKOTE USISITE KUULIZA AND UTASAIDIWA vile vile package ya airtel ni 2500/= ambapo weka
salio hyo kwenye 4ne and tuma msg yenye neno intaneti kwenda 15444 utapewa msg utanconfirm utajibu ndiyo and ur good to go ambapo
package hyo unapta 400mb kwa siku 30 vile vile ikifika saa sita usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi airtel ni free kabisa ambapo unapata
200mb CHEERS! people am out.