Unlock modem za Tigo 4G (E3372h-153)!

Unlock modem za Tigo 4G (E3372h-153)!

Nina modem ya airtel I need to unlock, is that possible au no zq tigo tu?
 
ndio toa imei na model gn?huawei te o alcatel?
Device name: E3372
IMEI: 869907021655622
IMSI : 640021032607020
My number: Unknown
Hardware version: CL2E3372HM
Software version: 22.200.09.00.787
Web UI version: 17.100.11.01.787
LAN MAC address: BA:AB:BE:34:00:00
WAN IP Address: Unknown
 
UNLOCK MODEM ZA 4G TIGO:
Kama una modem ya 4G ya tigo (E3372h-153) ambayo hujaifanyia ANY modifications, nafanyia network unlock ili iweze tumika kwa mitandao yote!. Plus network unlock code pia nakupatia(Just incase).

NOTE: For now, Hii ni kwa walio DSM tu (mpaka nitakapo shusha Tech Guide ya jinsi ya kufanya hii kitu.).
Check me up inbox if serious, uzi unajieleza, so si tegemei maswali ya ajabu inbox.

AjZL0Wx.png

1. Modem ikidai Unlock code.

N8M35AK.png

2. Baada ya kuweka code, ikawa ina piga mitandao yote.

uzl2TUt.png

3. Modem nikiwa nimeiwekea Modded(Unlocked) UI...

hOKsif9.png

4. Huawei E3372h-153

Kwa wale ambao wako serious, check me inbox, tuone tunafanya vp. Remember kwa sasa ni kwa wale walio DSM...

Mi najiuliza hivi tulikuwa na 3g moderm sahizi 4g then baadae itakua 5,6,7,....... kwa nini hawa jamaa wasiwe wana update tu hizi moderm zao mwisho utakuta mtu ana moderm 5 na kuendelea.
 
Mi najiuliza hivi tulikuwa na 3g moderm sahizi 4g then baadae itakua 5,6,7,....... kwa nini hawa jamaa wasiwe wana update tu hizi moderm zao mwisho utakuta mtu ana moderm 5 na kuendelea.
Kwa sababu hzo improvements za say kutoka 3G kwenda 4G sio za software, lazma uwe na hardware zinazoweza handle hyo technology ndo maana lazima watoe mpya na sio Software update
 
Device name: E3372
IMEI: 869907021655622
IMSI : 640021032607020
My number: Unknown
Hardware version: CL2E3372HM
Software version: 22.200.09.00.787
Web UI version: 17.100.11.01.787
LAN MAC address: BA:AB:BE:34:00:00
WAN IP Address: Unknown
IMEI: 869907021655622
Unlock 59511699 or70342437 or 22225778
Flash: 42028629
 
Device name: E3372
IMEI: 869907021655622
IMSI : 640021032607020
My number: Unknown
Hardware version: CL2E3372HM
Software version: 22.200.09.00.787
Web UI version: 17.100.11.01.787
LAN MAC address: BA:AB:BE:34:00:00
WAN IP Address: Unknown
firmware unayo ya kuunlock?
 
Nikipata muda Nitawatengenezea guide... wa e3372h
 
Wakuu mi naomba msaada mwenye kujua jinsi ya kuchakachua VOFONE V300 hizi mpya za promo ya voda
 
Jamani wakuu msaada wa hizi E3372-153 nani anajua jinsi ya kuunlock.. Na je line ya TTCL itafanya kazi hapo.!?
 
UNLOCK MODEM ZA 4G TIGO:
Kama una modem ya 4G ya tigo (E3372h-153) ambayo hujaifanyia ANY modifications, nafanyia network unlock ili iweze tumika kwa mitandao yote!. Plus network unlock code pia nakupatia(Just incase).

NOTE: For now, Hii ni kwa walio DSM tu (mpaka nitakapo shusha Tech Guide ya jinsi ya kufanya hii kitu.).
Check me up inbox if serious, uzi unajieleza, so si tegemei maswali ya ajabu inbox.

AjZL0Wx.png

1. Modem ikidai Unlock code.

N8M35AK.png

2. Baada ya kuweka code, ikawa ina piga mitandao yote.

uzl2TUt.png

3. Modem nikiwa nimeiwekea Modded(Unlocked) UI...

hOKsif9.png

4. Huawei E3372h-153

Kwa wale ambao wako serious, check me inbox, tuone tunafanya vp. Remember kwa sasa ni kwa wale walio DSM...

Je line ya smart itafanya kazi?
 
UNLOCK MODEM ZA 4G TIGO:
Kama una modem ya 4G ya tigo (E3372h-153) ambayo hujaifanyia ANY modifications, nafanyia network unlock ili iweze tumika kwa mitandao yote!. Plus network unlock code pia nakupatia(Just incase).

NOTE: For now, Hii ni kwa walio DSM tu (mpaka nitakapo shusha Tech Guide ya jinsi ya kufanya hii kitu.).
Check me up inbox if serious, uzi unajieleza, so si tegemei maswali ya ajabu inbox.

AjZL0Wx.png

1. Modem ikidai Unlock code.

N8M35AK.png

2. Baada ya kuweka code, ikawa ina piga mitandao yote.

uzl2TUt.png

3. Modem nikiwa nimeiwekea Modded(Unlocked) UI...

hOKsif9.png

4. Huawei E3372h-153

Kwa wale ambao wako serious, check me inbox, tuone tunafanya vp. Remember kwa sasa ni kwa wale walio DSM...

Je line ya smart 4g itafanya kazi?
 
Wickerman..check your inbox nimekutumia ujumbe. Nahitaji kununua hizo unlock codes bse nimefikia hapo kwenye kudai unlock codes.
 
Back
Top Bottom