Haya sasa wale wakongwe wa TunnelGuru na wale wanaotaka kujiunga na Internet bila kikomo nawaleteeni hii kitu kipya ambacho nime target zile backsides zote za TunnelGuru na kuziondoa kuhakikisha watu wana enjoy....
Kwa wale wataoikubali hii kitu nichekini Inbox ili niwaunge ni unlimited internet bila chenga,unapakua torrent bila wasi wasi
Bei yake 7,500/= per moon
Hakikisha eneo lako lina speed ya kutosha kwa hili basi letu la siku zote kabla kunitafuta nikuunge
Nitumie directly JF hapa nkupe Password ya mafile yaliyowekewa usalama
Faida zake
1.Unaweza pakua Torrent
2.Unaweza ku share internet kuja kwenye devices nyingine ukiwa unatumia VPN
3.Fast browsing and Downloading
Requirements:
1.Premiumssh Tunneling Tool
Steps
1.Ukipata Tool iset hivi kama kwenye picha kisha jaza username yako na password na kisha minya hii switch nyekundu ku Connect na hakikisha Tool unai run as admin
Ukitaka kujua upo connected angalia katika system tray hizi icons zenye red rectangle
Kwa mawasiliano na usaidizi wa matatizo zaidi tuwasiline
njunwawamavoko@gmail.com
Skype: premiumssh.net
Video Tutorial
[video]https://youtu.be/SmDprQQ6W40[/video]
Contacts accepted:
1.JF Private Message(PM)
2.Email njunwawamavoko@gmail.com
I will be terminating my phone numbers and will ignore all sms or calls asking unlimited internet
Cybercrime laws are arleady at work
Umejaribu imekataa??bro iyo njia ya kushusha mzigo wa torent inakuwa ngumu kwa upande wangu kwani kushusha kwa njia ya kawaida ya bittorent au utarent haiwezekani?
Inawezekana Ila ni too complicated as hii iko based kwa HTTP(s) proxyHiii kitu inawezekana kwa simu pia???
Umejaribu imekataa??
Inabagua P2P clients ndo maana kuna njia ya mkato ya kutumia Seedbox.
Itakugharimu uwe na Clients kama tatu mpaka uipate itakayo kubali..
Na hapo lazima ukumbuke torrents zinafanya vipi kazi na hii trick iko based wapi?
Hapa nataka kukwambia kwamba Torrent zenye UDP trackers hazitofanya labda zenye HTTP trackers
Hivo generally jifunze kutumia seedbox
nimejaribu inagoma
Kaka mbona seedbox rahisi kutumia no extra charges for that its free
Umekwama wapi?
kama bado ni shida waweza nicheck PM usr/pass zako kuwekee Softether VPN
:msela:sasahivi nakula bata. Asante sana njunwa kwa msaada wako:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::A S check_03:Haya sasa wale wakongwe wa TunnelGuru na wale wanaotaka kujiunga na Internet bila kikomo nawaleteeni hii kitu kipya ambacho nime target zile backsides zote za TunnelGuru na kuziondoa kuhakikisha watu wana enjoy....
Kwa wale wataoikubali hii kitu nichekini Inbox ili niwaunge ni unlimited internet bila chenga,unapakua torrent bila wasi wasi
Bei yake 7,500/= per moon
Hakikisha eneo lako lina speed ya kutosha kwa hili basi letu la siku zote kabla kunitafuta nikuunge
Nitumie directly JF hapa nkupe Password ya mafile yaliyowekewa usalama
Faida zake
1.Unaweza pakua Torrent
2.Unaweza ku share internet kuja kwenye devices nyingine ukiwa unatumia VPN
3.Fast browsing and Downloading
Requirements:
1.Premiumssh Tunneling Tool
Steps
1.Ukipata Tool iset hivi kama kwenye picha kisha jaza username yako na password na kisha minya hii switch nyekundu ku Connect na hakikisha Tool unai run as admin
Ukitaka kujua upo connected angalia katika system tray hizi icons zenye red rectangle
Kwa mawasiliano na usaidizi wa matatizo zaidi tuwasiline
njunwawamavoko@gmail.com
Skype: premiumssh.net
Video Tutorial
[video]https://youtu.be/SmDprQQ6W40[/video]
Contacts accepted:
1.JF Private Message(PM)
2.Email njunwawamavoko@gmail.com
I will be terminating my phone numbers and will ignore all sms or calls asking unlimited internet
Cybercrime laws are arleady at work
Kwa wale walioko Connected na UK2 itabidi kuni contact ili muwe connected to France server ambayo ni mpya with good perfomance
kama upo Connected to Germany in next pia sio vema ukaijaribu hii server mpya
Server nyingine zitabaki kama zilivo
SSH ports allowed: 22,109,143,443
select best for you
Sijakuelewa mkuu
Imenivutia sana kuipata sasa, maelezo kwa undani zaidi yangesaidia plz
Kwa sasa natoa huduma kwa Windows OSmkuu am very interested n hiyo..... vipi kwa tunaotumia android na ios ..?? i knw its very complicted km ulivyosema hapo juu..... lakini tusaidie ili na sisi tuchangie hiyoo 7500/=