aron lissu
Member
- Mar 7, 2019
- 28
- 31
Na kama kuna uwezekano wa kubadilisha kozi hapo udsm
Mimi inaniwekea mwisho 3 tu mkuuuClick Add Programs Hapo Na Ukisoma Maelezo yao Ni minimum 2 and Maximum 15
Mkuu nimepata, tutakuwa darasa moja.Usiwaze mkubwa, utapata tu.
Kwa ninavyosikia.. ni kwamba, unaenda kuifuata chuo.Jamani kuna mtu aliyetumiwa admission letter wa second selection
Duh acha masihara kakaKwa ninavyosikia.. ni kwamba, unaenda kuifuata chuo.
Me mwenyew cjatumiwa mpk leo.. account yang iko vilevile... Nilivyojaribu kuuliza ndy nikaambiwa hivyo xx cjui ni kwl au vipDuh acha masihara kaka
Embu tusibiria wengine waje wa comment maana mi niliambiwa baada ya dirisha kufungwa tutatumiwaMe mwenyew cjatumiwa mpk leo.. account yang iko vilevile... Nilivyojaribu kuuliza ndy nikaambiwa hivyo xx cjui ni kwl au vip
Ohh ngoj tusubirie bas..Embu tusibiria wengine waje wa comment maana mi niliambiwa baada ya dirisha kufungwa tutatumiwa
Sayansi ya Mimea utaikuta hapo BOTANY DEPARTMENT college of natural and applied sciences CoNAS_UDSM, Binafsi kwangu Mimi Naweza kushauri ukasome microbiology au MBB Kama utaweza achana na hiyo!!!Aneijua kozi ya botanical science anielezee vzr
Kaka kesho ndo wanaweka admission letter jmosi ijayo ndo orientation dayOhh ngoj tusubirie bas..
SawasawaKaka kesho ndo wanaweka admission letter jmosi ijayo ndo orientation day
Mpaka tarehe 23Mpaka muda huu kuna mtu ambaye ameshatumiwa registration and joining instruction(admission letter) hadi sasa?
Congratulations sana Mkuu, tutameet UDBSMkuu nimepata, tutakuwa darasa moja.
Congratulations sana Mkuu, tutameet UDBS
Hapo UDBS na Hall7 jitahidini vijana wangu mintafutie namba aseeh!!!Congratulations sana Mkuu, tutameet UDBS
Sijakuelewa mkuu tukutafutie namba ki vp?Hapo UDBS na Hall7 jitahidini vijana wangu mintafutie namba aseeh!!!
Hayo maeneo ndio kuna Pisi haswaa, Sasa nilihitaji tarakimu tu mkuuSijakuelewa mkuu tukutafutie namba ki vp?