Ni hivi. Nimemaliza diploma ya law, nilipoomba nikaweka bba yatatu na ndio nimepata udsm pekee. Swali ni kwamba naweza nikaomba mzumbe au udom llb?Duuuuh!! ww ni wa ajabu sana kwa hiyo ulitaka uchaguliwe vyuo vingi?
Ku-apply tena ni pesa yako kama una pesa ya kuchezea fanya utakavyo ila fahamu kuwa kuna wwnzako wanalia wamekosa nafasi awamu ya kwanza na hiyo awamu ya pili hawajui pesa wanaitoa wapi
Wengi hawalioni hili na matokeo yake ni kupandisha cut off point na kumwaga vijana wenye ufaulu mzuri. TCU wasipofanya tathmini ya zoezi la mwaka huu tutaendelea hivi hivi na vijana kukosa nafasi. Kwa sasa karibu 33000 wametemwa. TCU ituambie jumla ni wangapi wana multiple selections na wengine ni zaidi ya mbili.Ona mfumo huu ulivyoshindwa, nafasi zaidi ya 4000 wamechaguliwa zaidi ya chuo kimoja. Maana yake hawa wamezuia zaidi ya nafasi za waombaji 4000
tayariIv st John bado??
Msaada jaman: Nimechaguliwa Mechanical Engineering UDSM na Telecommunication Engineering-UDOM nichukue ipi kulingana na soko la hizo koz mbili?
Jamani msaada mwenye https://saut.ac.tz/downloads/SELECTED_WITH_ADMISSION.pdf
PDF ya SAUT ya mwanza anisaidie nimuangalizie dogo. Thanks in advanc
https://saut.ac.tz/downloads/SELECTED_WITH_ADMISSION.pdf
Kwa wale mlikuw mkisubiri majina ya selection chuo kuu dodoma yametoka.. Fanya kupitia hpa uangalie kama yamekaa saw au laah..hzo doc mbil kuna moja kwa wale wenye single selection na ya pili kwa wale weny multiple selection wanaoitajika ku confirm kama wataenda chuoni (UDOM)[/QUOTE
Uko kitengo Gani nduguKaribuni muhas madogo
Duuh we chalii unataka kutubania watu hatujapata chuo hata kimoja bado.Wadau naomba mwenye uelewa anisaidie. Nimechaguliwa chuo kimoja tuu, naweza nikaomba chuo kingine saivi?
Selected Bachelor Degree Applicants for 2017/2018 Academic Year | TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCYJamani TIA Bado Hawajatoa.??????
thanks mkuuChukua mechanical eng. hutojutia