george lucian
Member
- Sep 15, 2017
- 10
- 5
Hawa jamaa hajahajia majina bado
Kukosa pia kupo Mkuu..Nami naomba kuuliza hivi chuo kikuu Boom ni lazima au na lenyewe lina vigezo vyake? Mwenye kujua pleaa
Bora upate mkopo 0% utapata boom ambalo ni muhimu zaid Chuon...Nami naomba kuuliza hivi chuo kikuu Boom ni lazima au na lenyewe lina vigezo vyake? Mwenye kujua pleaa
Asante sana broo maana nlikua nshaanza kukata tamaaBoom ni lazima chuo hakiendi bila boom
hayo majina yatatolewa na nani? na ni lini? kwa mujibu wa ratiba ya udahili ya tcu?No,kuna majina ya awali yatatolewa ambapo mtu aliyechaguliwa chuo zaid ya kimoja atacomfim then tar 2 ndo yanatolewa rasmi kila m2 ataenda chuo gani
Acha uwongo.yale majina ya graduate degree applicants,au hauelewi graduate degree ni watu gani?UDOM Watoa Tayari.
Acha Kuwa Akili NdogoAcha uwongo.yale majina ya graduate degree applicants,au hauelewi graduate degree ni watu gani?
Hahah nao wa certificate na diploma,wanasubir majibu ya university? Afu na hao watu ambao,sio undergraduate.wametumia mfumo sawa na graduates?Acha Kuwa Akili Ndogo
Huu Uzi Ni Kwa Wote Certificate, Diploma, Degree, Masters Etc.
Najua Akili Yako Iliwaza Ni Majina
Ya First Year.
kwani hao wenye red na wenyewe wanasubiri kwenda UNIVESITYAcha Kuwa Akili Ndogo
Huu Uzi Ni Kwa Wote Certificate, Diploma, Degree, Masters Etc.
Najua Akili Yako Iliwaza Ni Majina
Ya First Year.
Ni College.kwani hao wenye red na wenyewe wanasubiri kwenda UNIVESITY
Mkuu siyo graduate, ni Undergraduate!!!! Graduate ni yule ambaye ameshamaliza university, yaani ame-graduate.Hahah nao wa certificate na diploma,wanasubir majibu ya university? Afu na hao watu ambao,sio undergraduate.wametumia mfumo sawa na graduates?
mi nimeelewa nikuwa namuuliza jamaa angu swali hapo anijibu,maana yeye ndo alishindwa kutofautisha hivo vitu viwili.Mkuu siyo graduate, ni Undergraduate!!!! Graduate ni yule ambaye ameshamaliza university, yaani ame-graduate.
Kama TCU wameshamaliza kuyahakiki na kurudisha feedback chuoni inawezekana! ila fumbo ni kwenye ambao watakuwa wamechaguliwa chuo zaidi ya kimoja!!!Oi nasikia UDOM wameshatoa majina ya undergraduate ni kweli??
Sio Kweli.Oi nasikia UDOM wameshatoa majina ya undergraduate ni kweli??
vipi yametoka majina.aliyechagua Ardhi, naomba untafute plz!