P Accountant
JF-Expert Member
- Sep 26, 2020
- 371
- 182
Itakuwa tatizo la kimtandao tu. Selection hutangazwa kwa pamoja kwa chuo, haiwezekani chuo kimoja wengine wapate new information halafu wengine iwe hamna kitu..Baadhi ya watu Dashboard zao hazijabadilika status haipo hii ina maana gani ?
Aliyechaguliwa chuo kimoja huyo anakuwa kadahiliwa moja kwa moja chuoni.Sorry na Kama umechangua chuo kimoja na ndo ulicho omba Kuna aja ya kucofirm
Hii shida ipo MUHAS na CUHAS kuna watu wanaona status zao na wengine hawaoni Dashboard ziko kimya zinaubaguziKuna jamaa nae dashboard yake hamna ujumbe wowote ..
Kuna mtu ile mara ya kwanza aliambiwa hajachaguliwa ila sasa amechaguliwa?
Chuo cha kata, waleteeeeeeee
Kuna jamaa nae dashboard yake hamna ujumbe wowote ..
Kuna mtu ile mara ya kwanza aliambiwa hajachaguliwa ila sasa amechaguliwa?
Wakuu hivi ukichaguliwa chuo zaidi ya kimoja usipo confirm maana yake ndo huendi hiko chuo au unafanyaje kwenda chuo unachotaka katika hizo options ulizopataView attachment 1593782
Uhakika maana tarh 12 dirisha la round ya pili litafunguliwaKwahyo kesho ndio huhakika vyuo vyote vitatangaza selection..?
mda sanaHivi NIT Tyr ?
Hiyo ndo tunaisubiria mkuuUhakika maana tarh 12 dirisha la round ya pili litafunguliwa
mda sana
sikilizia hata baadae kidigo...ila previously system ilikua njema tuInagoma kufunguka hapa
mkuu unalisubiri dirisha la pili eeh?Hiyo ndo tunaisubiria mkuu
sikilizia hata baadae kidigo...ila previously system ilikua njema tu
Ndio kiongozimkuu unalisubiri dirisha la pili eeh?