United States of Africa!!

United States of Africa!!

Baadaye utasema tutamlilia Bob Mugabe pia.

Ahistorical Zakumi, historia ya "Zimbabwe Liberation" haiwezi kufutwa kirahisi namna hiyo - it cannot be dismissed easily like that, wait and see!
 
Hatujafanya lolote ktk medani za anga kwa sababu hatutengenezi vyombo vyetu vya anga wenyewe. Hatutengenezi kwa sababu hatuwezi kutengeneza!


Juli:

Hata hao mabepari siku hizi wanaangalia zaidi quality of life na sio kuwa pride ku-own properties ambazo hazisaidii.

Hivyo vyombo vya anga viliwanufaisha sana wageni wanaokuja kutembea kuliko watanzania.

Mpaka sasa hivi I care less about Nyerere kwa sababu umilikia wa hivyo vyombo haukuenda sambamba na quality of life. Ilikuwa pride tu.
 
Hatujafanya lolote ktk medani za anga kwa sababu hatutengenezi vyombo vyetu vya anga wenyewe. Hatutengenezi kwa sababu hatuwezi kutengeneza!

Emirates wanatengeneza vya kwao wenyewe? South African Airways je? Nimesemea rejea ile tovuti ya ndege - yaani ndege yetu waliiuza, Wasauzi wakainunua na kuipaka rangi sasa wanatesa tu kwenye medani ya anga, mara Jozi to NY via Dakar au Sarl Island, mara hao Jozi to London au Jozi to Dar!
 
Juli:

Hata hao mabepari siku hizi wanaangalia zaidi quality of life na sio kuwa pride ku-own properties ambazo hazisaidii.

Hivyo vyombo vya anga viliwanufaisha sana wageni wanaokuja kutembea kuliko watanzania.

Mpaka sasa hivi I care less about Nyerere kwa sababu umilikia wa hivyo vyombo haukuenda sambamba na quality of life. Ilikuwa pride tu.

Kweli kabisa aisee...kwa mfano kule kwetu Bariadi hakuna hata kiwanja kidogo cha ndege. Sasa hiyo midege ya enzi hizo sijui hata iliwanufaishaje Wanyantuzu....
 
Juli:

Hata hao mabepari siku hizi wanaangalia zaidi quality of life na sio kuwa pride ku-own properties ambazo hazisaidii.

Hivyo vyombo vya anga viliwanufaisha sana wageni wanaokuja kutembea kuliko watanzania.

Mpaka sasa hivi I care less about Nyerere kwa sababu umilikia wa hivyo vyombo haukuenda sambamba na quality of life. Ilikuwa pride tu.

Quality of life is an investment. It does not fall like a pie from the sky. Rather, it is cumulative. Ile mindege bado tungekuwa nayo tungekuwa kama Dubai sasa, hata hoteli la chini ya maji tungekuwa nalo, proudly!
 
Kweli kabisa aisee...kwa mfano kule kwetu Bariadi hakuna hata kiwanja kidogo cha ndege. Sasa hiyo midege ya enzi hizo sijui hata iliwanufaishaje Wanyantuzu....

Mwadui na Shinyang vipo, vingewanufaisha tu. Na kungekuwa na trickle down effect hivyo Bariadi sasa ingekuwa juu. Tena huo mji wenu niliutembelea, unakua sana. Now imagine forward and backward linkages za hiyo midege jinsi ambavyo zingeukuza maradufu - yaani kungekuwa mpaka na tripu za anga kutoka Bariadi to Magu au Bariadi to Lamadi!
 
Emirates wanatengeneza vya kwao wenyewe? South African Airways je? Nimesemea rejea ile tovuti ya ndege - yaani ndege yetu waliiuza, Wasauzi wakainunua na kuipaka rangi sasa wanatesa tu kwenye medani ya anga, mara Jozi to NY via Dakar au Sarl Island, mara hao Jozi to London au Jozi to Dar!


Matatizo yenu watanzania, mnafanya biashara bila ya kuwa na business model na core values.

Kila siku kukicha mnakurupuka kununua infrastructures bila ya kuelewa jinsi ya kuzitumia.

Afu Mkapa analalamika kuwa IMF/WB walituambia tuuze.
 
Quality of life is an investment. It does not fall like a pie from the sky. Rather, it is cumulative. Ile mindege bado tungekuwa nayo tungekuwa kama Dubai sasa, hata hoteli la chini ya maji tungekuwa nalo, proudly!

Dubai siyo wajamaa wale wewe. Au unadhani tungeyapata yale maghorofa kupitia ujamaa na kujitegemea?
 
Matatizo yenu watanzania, mnafanya biashara bila ya kuwa na business model na core values.

Kila siku kukicha mnakurupuka kununua infrastructures bila ya kuelewa jinsi ya kuzitumia.

Afu Mkapa analalamika kuwa IMF/WB walituambia tuuze.

Core values walizizika hao kina Mkapa. Walidhani wakianzisha TIC na Sheria ya Uwekezaji pamoja na kubadili Sheria za Madini, Kodi na Manunuzi basi kila kitu kitajipa. Inabidi tuzirejee Core Values zetu za Mwongozo!
 
Kweli kabisa aisee...kwa mfano kule kwetu Bariadi hakuna hata kiwanja kidogo cha ndege. Sasa hiyo midege ya enzi hizo sijui hata iliwanufaishaje Wanyantuzu....

Afu kuna wanyantuzu wameshakuwa brain washed na wanalalamika kuwa hatuna shirika la ndege wakati usafiri wa punda unamshinda.
 
Dubai siyo wajamaa wale wewe. Au unadhani tungeyapata yale maghorofa kupitia ujamaa na kujitegemea?

Wale ni Rent Seekers. Anybody can be such a seeker. Whether Mjamaa or Mbepari!
 
Core values walizizika hao kina Mkapa. Walidhani wakianzisha TIC na Sheria ya Uwekezaji pamoja na kubadili Sheria za Madini, Kodi na Manunuzi basi kila kitu kitajipa. Inabidi tuzirejee Core Values zetu za Mwongozo!

Unaboronga tu. Tuulize wapiga mabox tutakwambia business models na Core Values za business entities. Usichemshe na miongozo.
 
Quality of life is an investment. It does not fall like a pie from the sky. Rather, it is cumulative. Ile mindege bado tungekuwa nayo tungekuwa kama Dubai sasa, hata hoteli la chini ya maji tungekuwa nalo, proudly!


Companero:

Miaka ya sitini, sabini, themanini, kulikuwa na vitu vinasisima kama symbols za taifa.

Vitu hivyo ni mashirika ya ndege, vyuo vikuu, viwanja vya ndege n.k. Hivyo nchi yoyote ilipopata uhuru iliakikisha inakuwa navyo.

Sasa hivi mindset ni lazima zibadilike. Tuachane na symbols na tuwe kwenye BIZNIS.
 
Zakumi what are you talking about? The country is in mabizinesi na mabiashara ndio maan tunalosti. Mpaka viongozi ni businessmen! Tunafanya mabizinesi mpaka tuna programu ya mabizenisi inaitwa MKUMBITA/BEST inayofuata hayo mamodeli yako! Hebu cheki nembo ya TIC hii, angalia kwa makini hiyo mikono iliyoshikana hapo:

Banner.jpg
 
Companero:

Miaka ya sitini, sabini, themanini, kulikuwa na vitu vinasisima kama symbols za taifa.

Vitu hivyo ni mashirika ya ndege, vyuo vikuu, viwanja vya ndege n.k. Hivyo nchi yoyote ilipopata uhuru iliakikisha inakuwa navyo.

Sasa hivi mindset ni lazima zibadilike. Tuachane na symbols na tuwe kwenye BIZNIS.

Na miaka ya elfu mbili wenzetu wana-bail out hayo mashirika ilhali sisi yetu tumeyaua! Ndio maana nasema tutamkumbuka sana Mwalimu. For once, weka pembeni prejudices zako, usikilize wosia huo wa Baba wa Taifa:

Upande wa serikali...vyama [vya ushirika]...ee
Vyama kwa kweli serikali lazima
Visaidieni vyama hivi katika yale ambayo
tuna uwezo nayo tuna uwezo nayo....haya
mengine...tutayaua mashirika...haya ndiyo+
wengine wako nje wanataka yafe ndiyo+
sasa tusikubali tusikubali tuwacheke
wajinga wale....nani anataka mashirika yetu
yafe ndiyo kataeni kabisa kabisa
ndiyo ya kwao hayafi mbona hala kuja
kuua mashirika yetu bwana+

-Presidential Oratory for the Pan-African Cause: The Nyerere Harangues
 
ki ukweli ni vigumu kuungana kama hakuna, mila na desturi zinazofanana, mpaka leo Turkey anasumbuka kuingia EU kwa sababu kuu ya DINI, ambayo ni kinyume kidogo na desturi za ulaya, yataongewamambo mengi ya mar cyprus lakini ukweli upo palepale, kama Turkey hajabadilisha misimamo yake basi kuingia EU itakuwa shida
sasa ukimwangalia GHadaffi anataka kutuunganisha Waafrika na wakati huohuo anataka kueneza Uislamu Africa, Hivi kweli Kiongozi anayetaka kuwaunaganisha watu anawezaje kwenda kwenye nchi nyingine na kusimama hadharani na kusema Biblia ni kitabu cha uongo na Uislamu ndio Dini ya kweli, sasa kwa nchi za kikristo Africa watamuunga mkono vipi Gadafi?
Nyerere na Nkuruma Hawakuwa na hayo mambo ya misimamo ya kijingai na ndio maana atleast walifanikiwa kwenye hoja zao (EAC na Tanganyika Vs Zanzibar)
 
Na miaka ya elfu mbili wenzetu wana-bail out hayo mashirika ilhali sisi yetu tumeyaua! Ndio maana nasema tutamkumbuka sana Mwalimu. For once, weka pembeni prejudices zako, usikilize wosia huo wa Baba wa Taifa:

Upande wa serikali...vyama [vya ushirika]...ee
Vyama kwa kweli serikali lazima
Visaidieni vyama hivi katika yale ambayo
tuna uwezo nayo tuna uwezo nayo....haya
mengine...tutayaua mashirika...haya ndiyo+
wengine wako nje wanataka yafe ndiyo+
sasa tusikubali tusikubali tuwacheke
wajinga wale....nani anataka mashirika yetu
yafe ndiyo kataeni kabisa kabisa
ndiyo ya kwao hayafi mbona hala kuja
kuua mashirika yetu bwana+

-Presidential Oratory for the Pan-African Cause: The Nyerere Harangues

Mkuu, hii elimu unayo weka hapa ni kubwa, sijuwi kama utaeleweka.

Asanke mkuu
 
wakuu kila kitu kina stage yake ya kupokea mabadiliko muhimu hapa duniani ukianzia na miili ya viumbe,hali za hewa,siasa,maisha, etc.......kwa mtazamo wangu African states are still unstable to handle the real so called unification, tukianzia politically,economically,literally,morally,etc.....na hasa hapoo nilipounderline ndo kisiki cha mpingo kipo maana pako totally polluted na GRAND CORRUPTION,uchu wa madaraka,uongo,wizi,unafiki,upendeleo,uchochezi,ubabe,nguvu za giza,na mbaya zaidi ni upeo mfupi wa kufikiri wa baadhi ya hao wanaoitwa viongozi.(maana kwao siasa ni kuanda tecnics na tactics zozote zile hususani zisizokua halali kwa mujibu wa sheria kuhakikisha wanabaki madarakani daima)....huuu mengine malizieni wenyewe mie pumzi imeniishia.
 
Companero:

Miaka ya sitini, sabini, themanini, kulikuwa na vitu vinasisima kama symbols za taifa.

Vitu hivyo ni mashirika ya ndege, vyuo vikuu, viwanja vya ndege n.k. Hivyo nchi yoyote ilipopata uhuru iliakikisha inakuwa navyo.

Sasa hivi mindset ni lazima zibadilike. Tuachane na symbols na tuwe kwenye BIZNIS.

Zakumi,nchi nyingi zilipopata uhuru tayari zilikuwa na viwanja vya ndege vilivyojengwa kabla ya uhuru,ila havijaendelezwa na hata matumizi yake hayakuwa kwa wa ajili ya wananchi wa kawaida,infrastructures zilikuwa strategically constructed to facilitate the movements of raw materials, labor and so forth,hata barabara na hata railways zilizojengwa na mkoloni zilikuwa ni kufacilitate movement za malighafi kutoka kwenye mashamba hadi bandarini nk. Na kwa hivyo basi mkoloni hakuwa mpumbavu,alikwishajipanga vyema sana kabla ya kutoa huo "Uhuru" walioutoa.

Tumeshindwa kupata maendeleo ya kijamii kwasababu hatukuweza kwenda kinyume na utaratibu wa kikoloni,yani sasa badala ya kuendelea kuwauzia malighafi,tungeangalia ni kwa vipi tunaweza kuwa wazalishaji na hivyo kuwanufaisha wananchi na Taifa kwa ujumla.Hapo sasa ndio tungeanza kuona maendeleo kwenye jamii,barabara kwa ajili ya kufacilitate sio tu bidhaa ama malighafi,bali hata movements za wananchi,afya na elimu kupewa msisitizo(Hili hata mwalimu alilijuwa)yale yote aliyokuwa anayafanya mkoloni sisi tungefanya kinyume chake,mwalimu alijaribu kiaina,hakupata ushirikiano wa kutosha,na ndio maana tunaweza kuviita vitu hivyo kama symbols.

Kwa hivyo basi kama mkoloni alijenga barabara,hakujenga kwasababu alikuwa anawapenda sana wananchi,the same apllies to all infastructures including airports....Sisi tulitakiwa kufanya kinyume na hayo aliyoyafanya mkoloni kwasabu kazi ya infrastructures kwa ajili ya movement za kibiashara tayari zilikuwepo,kilichobakia ni kuwapa wananchi elimu,kuzitumia malighafi zetu kwa uzalishaji na si kuzi export.
 
Back
Top Bottom