United Kingdom statement on Zanzibar elections

Zec walisema uchaguzi haukuwa huru na wa haki, baadae wakisema ulikuwa huru na wa haki wataonekana mahayawani kabisa. Za mwizi ni arobaini.
 
Sasa kimenuka! Hawa ndio mabwana zetu, washasema hawajaona kasoro yoyote na wanataka matokeo yatangazwe kama zilivyopigwa kura. January wajibu hawa
 
Utashangaa wiki JK yuko USA, UK, China, nk kuzurura tu, ngoja akome- hawa majamaa hayakawii kutaifisha A/C zake na Majumba yake.
 
Mbona hawajasema lolote kuhusu Tanzania bara.Yaani wameona kwamba uchaguzi huku ulikuwa huru na haki!?Ovyo sana.You can never trust these people.
 
wapi msemaji wa ikulu, tunataka kujua uamuzi wa serikali juu ya mapendekezo yaliyotolewa na waingereza
 
Hivi hizi statement zinatolewa na hawa watu, wao ni kama nani, tz hutoa statement kuhusu chaguzi zao, foolish...

Hao ndio wanakufanya wewe, upate heshima kwa mkeo, hadi UNAPEWA KIBOGA..!!!

SERIKALI YAKO YA OMBAOMBA..!! Waukize EU ni nani...!!! Unajaza CHOO sbb ya hao kama hujui...!!!

CCM wezi kama wewe...!!
 
Hivi hizi statement zinatolewa na hawa watu, wao ni kama nani, tz hutoa statement kuhusu chaguzi zao, foolish...

Hao ndio wanakufanya wewe, upate heshima kwa mkeo, hadi UNAPEWA KIBOGA..!!!

SERIKALI YAKO YA OMBAOMBA..!! Waulize EU ni nani...!!! Unajaza CHOO sbb ya hao kama hujui...!!!

CCM wezi kama wewe...!!
 
Hivi hizi statement zinatolewa na hawa watu, wao ni kama nani, tz hutoa statement kuhusu chaguzi zao, foolish...

Eti? Kama nani? Muulize Kikwete atakwambia maana ametumia siku nyingi wakati wa urais wake akiwa kwao kuliko alivyokuwa hapa nyumbani.
 
Hivi hizi statement zinatolewa na hawa watu, wao ni kama nani, tz hutoa statement kuhusu chaguzi zao, foolish...

baba ni baba siku zote, baba hawi mtoto, hata kama unamlisha baba huwezi kusema ni miongoni mwa unaowalisha. kumbafu wewe
 
Sisi rafiki yetu wa kweli ni china na russia..hawa nguruwe wengine hawawezi kutuambia kitu.hzo statement wakawatolee akina kagame huko.

Hujui unaloongea wewe!!hao unaowaita marafiki wana ramba viatu vya Western Countries.
Kamuulize Putin hali ya uchumi wa nchi yake.
 
Hivi hizi statement zinatolewa na hawa watu, wao ni kama nani, tz hutoa statement kuhusu chaguzi zao, foolish...

Kawaambie wachina wakupatie msaada basi tuone. Unajitambua kweli wewe au ni shake well before us
 
hata mi ndo nashangaa. Nkurunzinza je? mbona wamemwacha yuko madarakani na wananchi walimkataa? Museven kang'ang'ania madaraka miaka 30 sasa haaasemi kitu? akina besgye kila siku wanakamatwa kwenye kampeni wanawekwa ndani na serikali ya museven bila makosa uonevu mtupu mbona wasiseme kitu?

Vipi kuhusu Iraq,Libya......
Burundi hawajaamua
 
Back
Top Bottom