Chikwangara
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 685
- 939
Ni 2.3Mkwa mwaka sasa ni sh ngapi? kwa level ya bachelor sasa
Ni 2.3Mkwa mwaka sasa ni sh ngapi? kwa level ya bachelor sasa
ok! kinaonesha ni bora zaidi kuliko DIT na Udom kumbe sasaHapo kuna kozi za kawaida ambayo ada yake ipo humo humo, na kuna kitu kinaitwa Professional course, ambayo inafundishwa kutokana na uhitaji au soko la IT kwa mwaka huo, so kuna kama laki 3 hivi ndio ada ya professional course kwenye hiyo 1,150,000 kwa semester!
nimeona wana kozi mbali mbali za cyber security..zipoje zile?Chuo ni bomba, ukimaliza kwa GPA nzuri unatafutiwa kazi moja kwa moja.