Ungetamani Rais afanye nini?

Ungetamani Rais afanye nini?

Ahuishe ile rasimu ya katiba ya Warioba na mambo mengine yatakaa sawa kwa mujibu wa hiyo katiba.

Japo ninajua hata hilo hatalifanya kwa sababu katiba aliita ni 'kijitabu' na yeye kujiita CK (Chura Kiziwi)..hata umshauri vipi hatasikia.
 
Kumekuwa na wimbi la baadhi ya watu kusema Rais hafanyi vizuri nk

Napendekeza watu wataje mambo matano ambayo Raisi angeyafanya ungeona kabisa huyo ndio chaguo lako. Pengine utaje na mambo matano ambayo ungetamani Rais ayafanyie kazi (tumia lugha ya staha tafadhali/ bila matusi) Mimi pia nitachangia mbeleni.

Tatizo watu wengi wanalalamika kwa kufuata mkumbo ILA ukimuuliza nini anatamani afanyiwe, hajui?

Angalizo mimi sio mlamba asali/ ni raia wa kawaida tu!
Samia arudi Kizimkazi atuachie Tanganyika yetu, ameshaharibu sana sasa yatosha.
 
Kumekuwa na wimbi la baadhi ya watu kusema Rais hafanyi vizuri nk

Napendekeza watu wataje mambo matano ambayo Raisi angeyafanya ungeona kabisa huyo ndio chaguo lako. Pengine utaje na mambo matano ambayo ungetamani Rais ayafanyie kazi (tumia lugha ya staha tafadhali/ bila matusi) Mimi pia nitachangia mbeleni.

Tatizo watu wengi wanalalamika kwa kufuata mkumbo ILA ukimuuliza nini anatamani afanyiwe, hajui?

Angalizo mimi sio mlamba asali/ ni raia wa kawaida tu!
Aunde tume ya uchaguzi inayoaminiwa na vyama vyote. Kusiwe na mteule wa rais anayehusika katika mambo ya uchaguzi kwa namna yoyote.

Tume iwe na watumishi wake watakaokuwa huru kutangaza matokeo ya uchaguzi na sio wakurugenzi au watendaji.

Nb. Hata akileta maendeleo makubwa kiasi gani ,lakini bila kuwa na uhuru wa kisiasa kwangu hafai kuwa kiongozi.
 
Kumekuwa na wimbi la baadhi ya watu kusema Rais hafanyi vizuri nk

Napendekeza watu wataje mambo matano ambayo Raisi angeyafanya ungeona kabisa huyo ndio chaguo lako. Pengine utaje na mambo matano ambayo ungetamani Rais ayafanyie kazi (tumia lugha ya staha tafadhali/ bila matusi) Mimi pia nitachangia mbeleni.

Tatizo watu wengi wanalalamika kwa kufuata mkumbo ILA ukimuuliza nini anatamani afanyiwe, hajui?

Angalizo mimi sio mlamba asali/ ni raia wa kawaida tu!
Angeachia ngazi Urais haumtoshi watu hawana imani naye
 
Back
Top Bottom