Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,288
- 5,762
Kumekuwa na wimbi la baadhi ya watu kusema Rais hafanyi vizuri nk
Napendekeza watu wataje mambo matano ambayo Raisi angeyafanya ungeona kabisa huyo ndio chaguo lako. Pengine utaje na mambo matano ambayo ungetamani Rais ayafanyie kazi (tumia lugha ya staha tafadhali/ bila matusi) Mimi pia nitachangia mbeleni.
Tatizo watu wengi wanalalamika kwa kufuata mkumbo ILA ukimuuliza nini anatamani afanyiwe, hajui?
Angalizo mimi sio mlamba asali/ ni raia wa kawaida tu!
Napendekeza watu wataje mambo matano ambayo Raisi angeyafanya ungeona kabisa huyo ndio chaguo lako. Pengine utaje na mambo matano ambayo ungetamani Rais ayafanyie kazi (tumia lugha ya staha tafadhali/ bila matusi) Mimi pia nitachangia mbeleni.
Tatizo watu wengi wanalalamika kwa kufuata mkumbo ILA ukimuuliza nini anatamani afanyiwe, hajui?
Angalizo mimi sio mlamba asali/ ni raia wa kawaida tu!