Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 10,770
- 18,625
Huyo nae duhhhNi kweli mkuu, kuna jamaa zangu nikiwatag hapa watakuwa mashahidi.
Huyo nae duhhhNi kweli mkuu, kuna jamaa zangu nikiwatag hapa watakuwa mashahidi.
AsanteOkay, kila la Kheri.
HAKIKAUko sahihi mkuu,hasa wachaga wa Rombo wanajua sana kuhudumia.
Umeona ee?kazima kombe liende sukumaland leoaisee siku yetu leo
tena kwa tatu bila ndani ya 90 minutesUmeona ee?kazima kombe liende sukumaland leo
Umeona ee?kazima kombe liende sukumaland leo
Ndugu yangu huo wivu utakupeleka papaya,yaani kadiri unavyotupiga mabango ndo unatupaishaCha ajabu wanawake wenyewe hawaolewi na wasukuma, kama wanadhani wasukuma ni wa miaka ile wawaibie, wasahau, ni wajanja siku hizi, unakuta hata ineternet wanatumia vizuri tu, sishangai ndio wanaoongoza kuchepua mademu humu MMU!
Mimi ni myamwezi dear!Mnyamwezi au mnyakyusa
Aroo hebu kuja pmNatamani niolewe na Mkurya au mchaga.
Ridhiki-RizikiMkuu mbona unajibania ridhiki ingali hujaolewa!!!?
PeaneniMbona tutazeekea jf, sasa raha ya mapenzi tutakuja kuipata lini?
Mnyamwezi au mnyakyusa
Napenda awe msukuma,they are humble and caring na wanajali kwa kiwango chao na nnachotaka aniahidi na kutimiza ni upendo wa kweli na uaminifu na akitimiza hilo ntamkubali Mpaka kifo kinitenganishe nae..Sbabu upendo wa kweli na uaminifu ni vitu adimu sana katika kizazi hiki cha sasa...Sitaki magonjwa mie