Ungekuwa wewe ungefanyeje?

Ungekuwa wewe ungefanyeje?

Shamkware

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
1,755
Reaction score
2,303
Una demu wako ambae anaishi na bibi yake tu, Siku moja akakwambia uende kwani bibi yake hayupo alikuwa kalazwa hospitali anaumwa! Ukaenda kama kawa mmelala usiku wa manane mko kwenye mambo yenu mlango ukagonwa Binti akaijua sauti ilikuwa ya Mjomba Akakwambia "jifiche chini ya Uvungu haraka"! Kwa haraka haraka ukaingia uvunguni huku upo uchi wa mnyama, Baada ya kufungua mlango kumbe walikuwa wakileta maiti ya Bibi alikuwa kafariki wakaingia ndani moja kwa moja wakaiweka pale kitandani huku watu kibao wakajaa humo ndani wengine wakilia na wewe umo uvunguni nanguo huna zipo kwenye enka hujo juu Ungtoka je hapo!
 
Una demu wako ambae anaishi na bibi yake tu, Siku moja akakwambia uende kwani bibi yake hayupo alikuwa kalazwa hospitali anaumwa! Ukaenda kama kawa mmelala usiku wa manane mko kwenye mambo yenu mlango ukagonwa Binti akaijua sauti ilikuwa ya Mjomba Akakwambia "jifiche chini ya Uvungu haraka"! Kwa haraka haraka ukaingia uvunguni huku upo uchi wa mnyama, Baada ya kufungua mlango kumbe walikuwa wakileta maiti ya Bibi alikuwa kafariki wakaingia ndani moja kwa moja wakaiweka pale kitandani huku watu kibao wakajaa humo ndani wengine wakilia na wewe umo uvunguni nanguo huna zipo kwenye enka hujo juu Ungtoka je hapo!

nisingetoka. ng'o
 
Yaaan kama ni sooo au balalaa hiyo mfuniko utataman ungelala kituo cha polis mwaka mzima kuliko shida na mawazo utakavyopata huko uvungun!
 
Kwakuwa ni nigth nachomoka kama kifaru humo
 
najifanya kuongea kama bibi yao..then wote nawambia watoke nje kwa saut...........navaaa nguo nasepa
 
Dah ntachuomoka hvohvo ishakua ngwasuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom