Ungekuwa wewe ungefanyaje?

Ungekuwa wewe ungefanyaje?

gedo

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2012
Posts
314
Reaction score
53
KAMA NI WEWE UNGEFANYAJE: kijana
mmoja wa kiume alitandika kitanda cha
bosi wake alipomaliza akakitazama sana
akasema naweza kufa bila ya kulalia
kitanda kama hiki akasema ngoja
nijaribu kulala lau kidogo akavua suluali
na shati akabaki na pens akawasha ac
akajifunika brangeti akalala kwa mbaya
usingizi ukampitia kweli akalala mke wa
bosi aliporudi akajua hakika huyu ni
mume wangu na atakuwa amekasirika
mwanamke akasaula akabaki na nguo
za kulalia nae akajifunika hilo branget
kwa taratibu sana kwa hofu ya
kumwamsha mume wake kwa bahati
mbaya nae usingizi ukampitia akalala
bosi aliporudi akaingia chumbani
akakuta watu wamelala fofofo akafunua
branget akawakuta wote wawili yaani
yule mfanya kazi na mke wake
wamelala pamoja walipoulizwa kila mtu
akaeleza ukweli je kama ni wewe
utawaelewa?
 
KAMA NI WEWE UNGEFANYAJE: kijana
mmoja wa kiume alitandika kitanda cha
bosi wake alipomaliza akakitazama sana
akasema naweza kufa bila ya kulalia
kitanda kama hiki akasema ngoja
nijaribu kulala lau kidogo akavua suluali
na shati akabaki na pens akawasha ac
akajifunika brangeti akalala kwa mbaya
usingizi ukampitia kweli akalala mke wa
bosi aliporudi akajua hakika huyu ni
mume wangu na atakuwa amekasirika
mwanamke akasaula akabaki na nguo
za kulalia nae akajifunika hilo branget
kwa taratibu sana kwa hofu ya
kumwamsha mume wake kwa bahati
mbaya nae usingizi ukampitia akalala
bosi aliporudi akaingia chumbani
akakuta watu wamelala fofofo akafunua
branget akawakuta wote wawili yaani
yule mfanya kazi na mke wake
wamelala pamoja walipoulizwa kila mtu
akaeleza ukweli je kama ni wewe
utawaelewa?
Kwa kuwa ni Dktr ningempv my wife nikikuta hawajadoo nawasemehe wote
 
mfanyakazi hapo kaz hana na mke pia mume hana!!
natimua woote!!!
 
Ina maana huyo kijana hajui kuwa wanaoshikwa ugoni huwa wanafanyajwe...

Bila shaka kilichofuata ni huyo kijana kuharibiwa heshima ya makalio yake...
 
Ina maana huyo kijana hajui kuwa wanaoshikwa ugoni huwa wanafanyajwe...

Bila shaka kilichofuata ni huyo kijana kuharibiwa heshima ya makalio yake...

Ha ha ha hii Kali , kumbe inaitwa heshima ya makalio ha ha ha nimecheka sana
 
tatizo ni 'ninge..', nasubiri hboy na mke wangu wafanye hayo ndo nitajua la kufanya.
 
mie ningemwambia kijana asante sana kwa kunionyesha kuwa wife anageedeka nje sasa mwanawane ebu tumpige mande hapa alafu muondoke wote
 
Ningekuwa mimi (huyo baba ) ningeacha tabia ya kutandikiwa kitanda na houseboy. Ningemuambia wife kama hatuwezi kutandika kitanda chetu daily, tuhamie guest
 
kwani si zipo njia za kumuangalia mwanamke kama ameshaingiliwa au bado, napima maji kunakostahiki nijue
 
Ningewaingilia wote kinyume cha maumbile.over
 
Ina maana huyo kijana hajui kuwa wanaoshikwa ugoni huwa wanafanyajwe...

Bila shaka kilichofuata ni huyo kijana kuharibiwa heshima ya makalio yake...

Mi ningemshangaa wife.... yani mme wake anabadilishana nguo na houseboy afu hata hashangai.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom