Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Usimuue!
Ni yeye alinunua lile Land Cruiser VX nililokununulia, alilipia hii nyumba tunayomiliki sasa, alinipa zile pesa tulikuwa tunadaiwa na benki na analipia tiketi zetu zote tunavyoendaga maonyesho. Ndiye pia anayelipia ada za watoto wetu, hata iyo suti uliyovaa na nyingine. Pia analipa kodi zetu za kila mwezi!
Naona kama vile jamaa alichelewewa kumtafuta na kum-shoot mwizi wake maana alishajua zamani kama anaibiwa. Yaani mpaka mkopo wa bank unalipwa yeye bila kufikiri zimetoka wapi?
Kill the bastard!