Usichezee nguvu za kike! Huyu ndiye mwanaume rijali!
Amekua muda mrefu akihisi mke wake anamuibia kwa kutembea nje ya ndoa. Akaamua aandae safari feki na kurudi ghafla bila mkewe kutarajia.
Akarudi na Taxi usiku wa manane na aliamua dreva Taxi awe shahidi, akamlipa 100,000 ili waende wote kufumania.
Akanyanyua Bastola, wakanyatia ndani mpaka chumba cha kulala, akaingia yeye na dereva taxi kwa kupanda kwa kamba, akawasha taa na dreva akafunua blanketi alilojifunikia mke wake....wapo wawili!
Mke wa jamaa yu kitandani na mwanaume mwingine!!!
Jamaa akaweka bastola kichwani kwa yule mwanaume mgoni wake, ghafla mke wake akapaza sauti, Usimuue!
Huyu bwana ametusaidia sana ! Nlikudanganya niliposema nimerithi fedha. Ni yeye alinunua lile Land Cruiser VX nililokununulia, alilipia hii nyumba tunayomiliki sasa, alinipa zile pesa tulikuwa tunadaiwa na benki na analipia tiketi zetu zote tunavyoendaga maonyesho. Ndiye pia anayelipia ada za watoto wetu, hata iyo suti uliyovaa na nyingine. Pia analipa kodi zetu za kila mwezi!
Huku akiyumbayumba kwa kutoamini, MME AKASHUSHA BASTOLA CHINI, akamtazama dereva, akamuuliza, UNGEFANYA NINI INGEKUWA NI WEWE?
Dreva Taxi akamwambia; Mfunike bwana, mfunike na hilo blanketi kabla
hajasikia baridi
Maoni yako?
Amekua muda mrefu akihisi mke wake anamuibia kwa kutembea nje ya ndoa. Akaamua aandae safari feki na kurudi ghafla bila mkewe kutarajia.
Akarudi na Taxi usiku wa manane na aliamua dreva Taxi awe shahidi, akamlipa 100,000 ili waende wote kufumania.
Akanyanyua Bastola, wakanyatia ndani mpaka chumba cha kulala, akaingia yeye na dereva taxi kwa kupanda kwa kamba, akawasha taa na dreva akafunua blanketi alilojifunikia mke wake....wapo wawili!
Mke wa jamaa yu kitandani na mwanaume mwingine!!!
Jamaa akaweka bastola kichwani kwa yule mwanaume mgoni wake, ghafla mke wake akapaza sauti, Usimuue!
Huyu bwana ametusaidia sana ! Nlikudanganya niliposema nimerithi fedha. Ni yeye alinunua lile Land Cruiser VX nililokununulia, alilipia hii nyumba tunayomiliki sasa, alinipa zile pesa tulikuwa tunadaiwa na benki na analipia tiketi zetu zote tunavyoendaga maonyesho. Ndiye pia anayelipia ada za watoto wetu, hata iyo suti uliyovaa na nyingine. Pia analipa kodi zetu za kila mwezi!
Huku akiyumbayumba kwa kutoamini, MME AKASHUSHA BASTOLA CHINI, akamtazama dereva, akamuuliza, UNGEFANYA NINI INGEKUWA NI WEWE?
Dreva Taxi akamwambia; Mfunike bwana, mfunike na hilo blanketi kabla
hajasikia baridi
Maoni yako?