carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Yani hii mbona ilinipita, ndo naiona hii mada. Hakyanani tena mi ningondoka lakini kabla ya kuondoka ningehakikisha hiyo nanihino yake haisimami tena for the rest of his misarable life. we unadhani type hii ya mwanaume anashindwa kukukazia binti yenu?
yani hili wala si swala la kuomba ushauri, hata biblia imeandika ndoa haivunjiki ISIPOKUWA kwa uzinzi.
yani hili wala si swala la kuomba ushauri, hata biblia imeandika ndoa haivunjiki ISIPOKUWA kwa uzinzi.