kwani mimi mwanamke? hapa jf huwezi jua jinsia ya mtu bana wengine wazee 60 yrs tena wa kiume wanajiita mabinti humuni kweli Bebii sijakata hilo, ndio maana kuna jukwaa lake. Tehetehetehehe... 🙂 Mimi ninaamini mwanaume angeianzisha hii topic, asingepata post zaidi ya 5, ila kwa kuwa ni wewe Bebii.........
Kweli JF imekuwa Facebook.. Yaani post ya dem tu(tena post za ki'facebook)..ina comments nyingiii, na likes kibao.... Haya bhana great thinkerz! Bebii..siwezi kujibu hilo swali maana mimi tayari ni kijogoo! 🙂
Dude chill basi kidogo mbona una ma-stress hivo ? hapa panaitwa chitchat sijui kama ulisoma hapo juu, tulifunguliwa kitengo hiki baada ya kuombwa tusichakachue thread za watu kusalimia,kutaniana,kutongozana,hapa we can spend hours discussing nothing,unashangaa nini ? chitchat comes from the word chatter look it up.ni kweli Bebii sijakata hilo, ndio maana kuna jukwaa lake. Tehetehetehehe... 🙂 Mimi ninaamini mwanaume angeianzisha hii topic, asingepata post zaidi ya 5, ila kwa kuwa ni wewe Bebii.........
mweleweshe banaDude chill basi kidogo mbona una ma-stress hivo ? hapa panaitwa chitchat sijui kama ulisoma hapo juu, tulifunguliwa kitengo hiki baada ya kuombwa tusichakachue thread za watu kusalimia,kutaniana,kutongozana,hapa we can spend hours discussing nothing,unashangaa nini ? chitchat comes from the word chatter look it up.
Dude chill basi kidogo mbona una ma-stress hivo ? hapa panaitwa chitchat sijui kama ulisoma hapo juu, tulifunguliwa kitengo hiki baada ya kuombwa tusichakachue thread za watu kusalimia,kutaniana,kutongozana,hapa we can spend hours discussing nothing,unashangaa nini ? chitchat comes from the word chatter look it up.
Amweleweshe kuwa jogoo chit chat ruksa siyo? Nini jogoo bana, huku hata viatu tuanajadili, hatuna mipaka. Eti bebi, ungekuwa kiatu?mweleweshe bana
Bebii ungependa kuwa kiatu cha chooni,cha michezo,cha kutembelea au cha harusi/dansi ?Amweleweshe kuwa jogoo chit chat ruksa siyo? Nini jogoo bana, huku hata viatu tuanajadili, hatuna mipaka. Eti bebi, ungekuwa kiatu?
Hivi cha kutembelea si ndio huwa kinakanyagwa?Bebii ungependa kuwa kiatu cha chooni,cha michezo,cha kutembelea au cha harusi/dansi ?
Kukanyagwa tena ? babu hapo mi simo lol!Hivi cha kutembelea si ndio huwa kinakanyagwa?
Amweleweshe kuwa jogoo chit chat ruksa siyo? Nini jogoo bana, huku hata viatu tuanajadili, hatuna mipaka. Eti bebi, ungekuwa kiatu?
Hahahha........ kiongozi unasepa?......... Sasa angekuwa dafu, si ungekimbia kabisa? Nani anapenda kuchokonolewa?Kukanyagwa tena ? babu hapo mi simo lol!
Hatujambo rafiki, hivi we ungependa uwe jogoo au mtetea?Mhhhhh!!! wewe kweli ni babu....lol
Mimi napita tu kuwasalimu, hope wote hamjambo wapendwa....!
Usipite bana tulia kidogo,hujambo lakini ? ungekuwa kuku ungekubali kukimbizwa na jogoo gani wa JF ? lol!Mhhhhh!!! wewe kweli ni babu....lolMimi napita tu kuwasalimu, hope wote hamjambo wapendwa....!
hahaha! Aspirin ana lake jambo,viatu vyote si hukanyagiwa(sio kanyagwa).ahaa hii kali mzee
Hatujambo rafiki, hivi we ungependa uwe jogoo au mtetea?
Usipite bana tulia kidogo,hujambo lakini ? ungekuwa kuku ungekubali kukimbizwa na jogoo gani wa JF ? lol!
Hahaha...... basi bana nisije nikaharibu mazima manake huchelewi kusema bebi angependa kuwa chakula apakuliwe...........mi chimo!hahaha! Aspirin ana lake jambo,viatu vyote si hukanyagiwa(sio kanyagwa).
Unaogopa kiatu bebi?kiatu ....? balaa