Ungekubali uolewe na yupi kati ya hawa. . . . ??

Wa kwanza ni tajiri yuko bize sana nyumbani anapatikana mara 2 tu kwa mwezi na utapata mahitaji yako yote. . . . . . Wa pili,tajiri yuko bize kiasi na anapatikana nyumbani kwa wiki mara 3 lakini si mzuri sana kitandani. . . . . . . Wa tatu ni tajiri sana ana majivuno na kibri,shughuli zake nyingi zinafanywa na wafanyakazi wake hivyo anapatikana nyumbani,kitandani ni kawaida. . . . . . . .Wa nne ni tajiri kiasi nyumbani anapatikana vya kutosha,anakujali,lakini mlevi,huyu kitandani kawaida. . . . .Wa tano ana maisha ya kati,mkorofi ana kibri ila kitandani ni mzuri sana. . . . . . Wa sita ana maisha ya kati msikivu,anakujali,ni kicheche kiasi,kitandani kawaida. . . . . Wa saba maisha yake ni ya kawaida ni mkatili na hajali lakini kitandani ni mzima balaa. . . . . . .Wa nane maisha yake ni ya kawaida anajali,msikivu na mtaratibu,kitandani mchovu. . . . . . . Wa tisa maisha yake ya chini anakujali pia ana majigambo kitandani kawaida. . . . . . . Wa kumi maisha yake ya kawaida msikivu,anajali,ni kicheche kiasi ni mzuri sana kitandani. . . . . . .Wa 11 ni tajiri kiasi mkorofi,mlevi kitandani mzuri sana. . . . .Wa 12 ana maisha ya chini sana msikivu,mkorofi,kitandani mzuri sana. . . . . . . .

na katiza tu hapa..
 
kumbe ndo maana sina mwanaume..watu wamejilimbikizia wenyewe..
kumbe ufisadi hadi kwenye mapenzi upo..
gap baina ya wenye nacho na wasio nacho kumbe ni kila mahali sikujua!...
wenzangu mnahesabu 11 mimi smile nipo 0...daaaah!
smile............ i thought huna mwanaume kwa sababu umeamua kuibania k yako na kuwa bikra? kumbe ni kwa sababu umekosa mwanaume coz ya wengine kujilimbikizia?? Teh teh teh...........!! mwenyekiti wa chama cha wabana k....... si ndo wewe??
 
smile............ i thought huna mwanaume kwa sababu umeamua kuibania k yako na kuwa bikra? kumbe ni kwa sababu umekosa mwanaume coz ya wengine kujilimbikizia?? Teh teh teh...........!! mwenyekiti wa chama cha wabana k....... si ndo wewe??

Hapa sitii neno mtamalizana wenyewe!
 
smile............ i thought huna mwanaume kwa sababu umeamua kuibania k yako na kuwa bikra? kumbe ni kwa sababu umekosa mwanaume coz ya wengine kujilimbikizia?? Teh teh teh...........!! mwenyekiti wa chama cha wabana k....... si ndo wewe??

Nani ana bikra?..naomba umtake radhi. Umemsingizia sana sababu mtoto ana roho nzuri. Ulishamuomba akakunyima?. sema yupo busy tu.
ulicho pewa na Mungu bure kumnyima mwanaume dhambi. Mia
 
Wa kwanza ni tajiri yuko bize sana nyumbani anapatikana mara 2 tu kwa mwezi na utapata mahitaji yako yote. . . . . . Wa pili,tajiri yuko bize kiasi na anapatikana nyumbani kwa wiki mara 3 lakini si mzuri sana kitandani. . . . . . . Wa tatu ni tajiri sana ana majivuno na kibri,shughuli zake nyingi zinafanywa na wafanyakazi wake hivyo anapatikana nyumbani,kitandani ni kawaida. . . . . . . .Wa nne ni tajiri kiasi nyumbani anapatikana vya kutosha,anakujali,lakini mlevi,huyu kitandani kawaida. . . . .Wa tano ana maisha ya kati,mkorofi ana kibri ila kitandani ni mzuri sana. . . . . . Wa sita ana maisha ya kati msikivu,anakujali,ni kicheche kiasi,kitandani kawaida. . . . . Wa saba maisha yake ni ya kawaida ni mkatili na hajali lakini kitandani ni mzima balaa. . . . . . .Wa nane maisha yake ni ya kawaida anajali,msikivu na mtaratibu,kitandani mchovu. . . . . . . Wa tisa maisha yake ya chini anakujali pia ana majigambo kitandani kawaida. . . . . . . Wa kumi maisha yake ya kawaida msikivu,anajali,ni kicheche kiasi ni mzuri sana kitandani. . . . . . .Wa 11 ni tajiri kiasi mkorofi,mlevi kitandani mzuri sana. . . . .Wa 12 ana maisha ya chini sana msikivu,mkorofi,kitandani mzuri sana. . . . . . . .

Hivi umefikiria nini lakini???!!!!
 
Mmmmmhhh! Mpaka umpate mwanamke mwenye hofu ya mungu maisha haya, unahitaji kuwa na macho ya rohoni

Ni kweli Comi, macho ya rohoni ni kwamba uwe umeokoka, tena wake wema wapo, wazuri wenye vigezo vyote. Tatizo ni wale watafutaji mko kidunia zaidi.
 
what a poor selection of men!! kumbe wanawake mna kazi, poleni sana.
 
Wote ni Afadhali isipokua namba 1,6 na 10 maana tabia za hawa waliobakia zinarekebika kulikoni za namba 1,6,na 10. Inawezekana kumshawishi na kumuelimisha akapunguza au kuacha ulevi na ukorofi. Ila pia inawezekana wakaagiza pombe na kuinywa wakiwa nyumbani. Lakini kwa anaepatikana nyumbani mara mbili na wale wenye tabia za ukicheche, wanahatarisha usalama na mshikamano wa ndoa zao hata kama wanatoa fedha za kutosha kwa matumizi ya nyumbani.

Cha kukumbuka ni kwamba, alipooa au kuolewa hakufanya hivo ili kuja kumwacha mwenzake peke yake, na kutoa matumizi si lengo kuu la kuoana. Cha msingi ni kuishi pamoja, then kinachotakiwa ni KU-MAXIMAIZ MUDA WA KUKAA PAMOJA yaani frequency ya kuonana iwe kubwa
 
dah!!smile usiwaze mi pia sina niko available cse sina kipato kikubwa,sura ya kikauzu laana sema sio moyoni,black kama ukuta wa jiko na kuni,miraster kama mikia ya taa.sina gari ila na baskeli,naishi uswailini mbaya ngalelo japo sinywi za kienyeji,laabda ndo maana sijabahatika kupendwa.unaonaje ntakufaa
kumbe ndo maana sina mwanaume..watu wamejilimbikizia wenyewe..
kumbe ufisadi hadi kwenye mapenzi upo..
gap baina ya wenye nacho na wasio nacho kumbe ni kila mahali sikujua!...
wenzangu mnahesabu 11 mimi smile nipo 0...daaaah!
 
Kwakua mie ni mkali nadhani naweza kuolewa na na na na a a a a a!!!!! Nimekumbuka huyo wa (11) hebu EIYER piga hesabu ya faster faster yaaaani MKALI a.k.a. muonja kilaji + mkorofi,mlevi =..........................
 
Back
Top Bottom