Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,702
Wa kwanza ni tajiri yuko bize sana nyumbani anapatikana mara 2 tu kwa mwezi na utapata mahitaji yako yote. . . . . . Wa pili,tajiri yuko bize kiasi na anapatikana nyumbani kwa wiki mara 3 lakini si mzuri sana kitandani. . . . . . . Wa tatu ni tajiri sana ana majivuno na kibri,shughuli zake nyingi zinafanywa na wafanyakazi wake hivyo anapatikana nyumbani,kitandani ni kawaida. . . . . . . .Wa nne ni tajiri kiasi nyumbani anapatikana vya kutosha,anakujali,lakini mlevi,huyu kitandani kawaida. . . . .Wa tano ana maisha ya kati,mkorofi ana kibri ila kitandani ni mzuri sana. . . . . . Wa sita ana maisha ya kati msikivu,anakujali,ni kicheche kiasi,kitandani kawaida. . . . . Wa saba maisha yake ni ya kawaida ni mkatili na hajali lakini kitandani ni mzima balaa. . . . . . .Wa nane maisha yake ni ya kawaida anajali,msikivu na mtaratibu,kitandani mchovu. . . . . . . Wa tisa maisha yake ya chini anakujali pia ana majigambo kitandani kawaida. . . . . . . Wa kumi maisha yake ya kawaida msikivu,anajali,ni kicheche kiasi ni mzuri sana kitandani. . . . . . .Wa 11 ni tajiri kiasi mkorofi,mlevi kitandani mzuri sana. . . . .Wa 12 ana maisha ya chini sana msikivu,mkorofi,kitandani mzuri sana. . . . . . . .