Ungekua wewe ungefanyaje?

Ungekua wewe ungefanyaje?

Access Denied

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
655
Reaction score
211
Unapewa taarifa kuwa mumeo wa ndoa yuko na hawara yake wamekaa garden, ile unafika karibu yao unasikia kimada wake anamwambia
"Honey chukua hii laki 7 hizi umpelekee mkeo nyumbani umwambie zimsaidie kwa leo na kesho, ila ikifika mwisho wa mwezi nitakupigia tukutane sehemu nikupatie million 10 umfungulie biashara ili awe busy asitusumbue"
Vipi utafanya fujo au utasubiri hizo million 10?
 
Mmmmh ndoa ni kitu kingine jamani!!! Mumeo hawezi kufananishwa na pesa, penzi lina thamani yake.
 
Nitamgonga na laki7 nitawanganya kwa sababu ni wakosefu wa adabu
 
hahahahah hatari sana kuwa na subira kwakuwa umejua mipango yao wewe kula laki saba then kula mil10 alafu tia ngumu vile vile kwa kumfuatilia mmeo tena unapanga out kila weekend hela si mnayo? hiyo mil 10 mpaka iishe hakuna cha bishara wala nini!
 
Mmmmh ndoa ni kitu kingine jamani!!! Mumeo hawezi kufananishwa na pesa, penzi lina thamani yake.

Tatizo hapo huwezi kuzirudisha mbegu zoooote zilizoingia kwa hawara.............you cant rewind.............stahimili tu upigwe na LAKI 7 kisha usubiri 10m uende VCT THEN UTAMBAE
 
ooooooooooppsssss......tungejua kabila la huo mwanamke ili tusisumbue vichwa kwa hii therad moja, kuna nyingi za kuchangia
 
ooooooooooppsssss......tungejua kabila la huo mwanamke ili tusisumbue vichwa kwa hii therad moja, kuna nyingi za kuchangia

Kwani na wewe mwanamke, maana hii inawalenga wanawake tu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom