Mwiyuzi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 854
- 448
Kumbe tembo ni wa korofi ehHivi pale mikumi ingekuwajje juzi mepita pale nikaona kundi kubwa la twiga wakivuka ilibidi nisimame kwa muda nao wakahisi hiki sio kiumbe cha kawaida kumbe nao wanyama wanatambua magari, mbele kidogo tembo nao wakijiandaa kuvuka aah hao sikusubiri ilibiidi gia namba 5 itafutwe fasta na kusepa wale wakipiga kigelegele chao ukizubaa unageuka nyasi fasta na kigari chako