Ungefanyaje????????????????

MR. ABLE

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
1,480
Reaction score
946
Juzi police kawakamata jamaa wawili akaanza kuwauliza maswali kila mmoja,
Mazungumzo yao yalikua hivi;

Police;unafanya kazi wapi?

Jamaa wa kwanza;sifanyi kazi popote!
sijaajiriwa.

Police; na wewe?

Jamaa wa pili;mimi ni msaidizi wake!


Je ungekua wewe ndo police ungechukua hatua gani????????
 
Duh!hiyo kali!ningemsamehe wa kwanza,wa pili angenipeleka ofisin kwake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…