Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Anasema tangu waoane na mume wake imepita miaka 6 na sasa wana watoto 2.
Mume wake alikuwa akiishi Dar akifanya biashara wakati yeye akifanya kazi ya ualimu huko MZ.
Baadae mume alimfanyia uhamisho akaja Dar tangu mwaka jana mwezi wa 3. Kipindi hicho alikuwa mjamzito.
Hii ina maana jamaa alikuwa anaenda kurekebisha huko MZ.
Anasema tangu aje, akiwa mjamzito wa miezi 2 jamaa alimtengenezea kitanda cha peke yake na mwanae mkubwa
na hakuwa ata kurekebisha ata siku moja hadi mwanamke huyo alipoenda kumwuliza Daktari aka mwambia haina shida iwapo
wangefanya mchezo kistaarab. Ikumbukwe mama huyu anasema alikuwa na hamu sana na mume wake.
Aliporudi nyumbani kumwambia mumewe, mume alimjibu kuwa yeye hajisikii kutembea na mtu mwenye mimba.
Alipojifungua hadi leo jamaa amekataa kumpa haki yake kwa kigezo kuwa bado ananyonyesha. Hapa mama anasema hamu iko juu kwani
sasa inaelekea miaka 2 hajapata hiyo kitu!
Anasema alipomfuatilia siku moja asubuhi alimwona anaenda kazini kwake na mwana mke fulani aliyekaa naye kwenye gari lake (la Mwanamke)
huku wakipeana mabusu na alipomuuliza kama anapitia mitaa ile mumewe alikana.
Siku nyingine alikodisha taxi na akawakuta tena katika hali hiyo. Alipomwulizia zaidi ampe ile kitu jamaa akamwambia ''sikufeel"
Sasa huyu mume anatimiza majukumu yote isipokuwa hiyo kitu.
Je, ndoa ipo hapo? Utamshauri afanyeje?
Mume wake alikuwa akiishi Dar akifanya biashara wakati yeye akifanya kazi ya ualimu huko MZ.
Baadae mume alimfanyia uhamisho akaja Dar tangu mwaka jana mwezi wa 3. Kipindi hicho alikuwa mjamzito.
Hii ina maana jamaa alikuwa anaenda kurekebisha huko MZ.
Anasema tangu aje, akiwa mjamzito wa miezi 2 jamaa alimtengenezea kitanda cha peke yake na mwanae mkubwa
na hakuwa ata kurekebisha ata siku moja hadi mwanamke huyo alipoenda kumwuliza Daktari aka mwambia haina shida iwapo
wangefanya mchezo kistaarab. Ikumbukwe mama huyu anasema alikuwa na hamu sana na mume wake.
Aliporudi nyumbani kumwambia mumewe, mume alimjibu kuwa yeye hajisikii kutembea na mtu mwenye mimba.
Alipojifungua hadi leo jamaa amekataa kumpa haki yake kwa kigezo kuwa bado ananyonyesha. Hapa mama anasema hamu iko juu kwani
sasa inaelekea miaka 2 hajapata hiyo kitu!
Anasema alipomfuatilia siku moja asubuhi alimwona anaenda kazini kwake na mwana mke fulani aliyekaa naye kwenye gari lake (la Mwanamke)
huku wakipeana mabusu na alipomuuliza kama anapitia mitaa ile mumewe alikana.
Siku nyingine alikodisha taxi na akawakuta tena katika hali hiyo. Alipomwulizia zaidi ampe ile kitu jamaa akamwambia ''sikufeel"
Sasa huyu mume anatimiza majukumu yote isipokuwa hiyo kitu.
Je, ndoa ipo hapo? Utamshauri afanyeje?
Naomba mnijibu ili nimfikishie maana mimi sikupata majibu mazuri ya kumshauri.