Unga kilo ni shilingi 2200 kwa baadhi ya sehemu huku Dar inatarajiwa kufika 3000 tukiingia mwezi wa pili.
Walanguzi ndo wanufaikaji wakubwa na sio wakubwa kwahiyo serikali isidhani kuwa wakulima ndo wananufaika la hasha wanaokula mema sasa hivi ni walanguzi
Huu mfumuko ni hatari sana
Sent using
Jamii Forums mobile app