Unene mwingine balaa!!

Babu Lao

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
2,044
179
Huyu jamaa kanenepa mpaka anashindwa hata kunyenyuka!!!
 

Attachments

  • unene.jpg
    unene.jpg
    19.1 KB · Views: 1,429
Wengine tukiongezeka kidogo tu presure hizo, kisukari ndo usiseme. Mwachen Mungu aitwe Mungu.
 
Huyu jamaa kanenepa mpaka anashindwa hata kunyenyuka!!!

Hapa sina la kusema kwani makuzi ya mwanadamu yanaongozwa na tezi fulani naikumbuka ni pituitary gland kama sijakosea biology nimesoma zamani, hii ikifanya tofauti mtu anaweza kuwa na miaka 8 ukamuona kama ni wa miaka 32, si jambo la kubeza japokuwa chakula bila mpango na namna za maisha (life style) na magonjwa vinaweza kuchangia.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom