Unene mwingine balaa!!

Unene mwingine balaa!!

Babu Lao

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
2,042
Reaction score
180
Huyu jamaa kanenepa mpaka anashindwa hata kunyenyuka!!!
 

Attachments

  • unene.jpg
    unene.jpg
    19.1 KB · Views: 1,436
Huyo atakuwa ni binadamu wa nyama kama kuna wanaokula binadamu
 
Wengine tukiongezeka kidogo tu presure hizo, kisukari ndo usiseme. Mwachen Mungu aitwe Mungu.
 
jamaa afya imekubali lazima atakuwa fisadi tu.
 
Huyu jamaa kanenepa mpaka anashindwa hata kunyenyuka!!!

Hapa sina la kusema kwani makuzi ya mwanadamu yanaongozwa na tezi fulani naikumbuka ni pituitary gland kama sijakosea biology nimesoma zamani, hii ikifanya tofauti mtu anaweza kuwa na miaka 8 ukamuona kama ni wa miaka 32, si jambo la kubeza japokuwa chakula bila mpango na namna za maisha (life style) na magonjwa vinaweza kuchangia.
 
Back
Top Bottom