Undugu hapa upo wapi???

Undugu hapa upo wapi???

Nikusahihishe ndugu hakuna kuoana kuna kuoa na kuolewa tu
 
muungano kama tanganyika na zanzbar ndio maana kuna taraka uliwahi kusikia katika undugu kuna kipengele cha talaka au kwenda kufungishwa undugu?
 
we kijoba hueleweki,nakuamru aidha uedit post yako au uiondoshe hapa sivyo naifuta kwa nguvu,kiufupi HUELEWEKI
 
Ni project km project zingne hakuna undugu hapo.
 
Kama mmezaa, maybe otherwise mkibwagana kila mtu kivyake
 
Kama mmezaa, maybe otherwise mkibwagana kila mtu kivyake

mkiwa mumezaa mtoto afu mkapigana kibuti kila mmoja wenu akafind kitu kipya je undugu hapo unakuwa vipi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom