Undugu hapa upo wapi???

Undugu hapa upo wapi???

Duniani hapa kuna watu na viatu
 
Ni zaidi ya ndugu yako hii ni pale mkiwa pamoja mkiachana undugu unakuwepo wa mashaka

haijakaa sawa hii.. haiwekezani mke /mume wakawa ni ndugu.. maana mda wowote wanaweza kubwagana. lkn watoto wanapo zaliwa hawandio ndugu. sababu hawawezi kutafuta baba/mama mwingine zaidi ya hao waliowazaa. ila mume/mke wanaweza kutafuta wenza wengine pindi wakibwagana/kutengana. undugu hapa hakuna.
 
Kwa sababu mnajua mlipo tengenezea na kinachowaunganisha ni nini .. vikikosekana hivyo hamna undugu

hivii tunapoungana ndo tunatengeneza undugu au....
me naona hapa hatutengenezi ila tunawatengenezea wanaotuunganisha
 
Kwa sababu mnajua mlipo tengenezea na kinachowaunganisha ni nini .. vikikosekana hivyo hamna undugu

najua unae best wako ila hawezi kuwa ndugu yako kamwe. ispokuwa mnaweza tu kutengeneza ambao ndio watakuwa ndugu wakati nyie ubest wenu umekwisha sambaratika. tena ikipitiliza unakuwa uadui mkubwa zaidi.
 
hivii tunapoungana ndo tunatengeneza undugu au....
me naona hapa hatutengenezi ila tunawatengenezea wanaotuunganisha
NIMEPIGA DESA SEHEMU

Wanandoa wasiwe maharimu
Maharimu ni watu walio na mahusiano ya karibu ya damu au kindugu.

Wawili wanaoamua kufunga ndoa wasiwe na uhusiano wa karibu kindugu.

Inakatazwa katika kifungu cha 14 cha Sheria ya ndoa ya mwaka
1971 mtu kuoa au kuolewa na mzazi wake, mtoto au mjukuu wake, kama ni dada yake, mama au shangazi au baba wa mjomba wake, baba au mama wa kambo na mwanaye aliyemfanya kuwa mtoto
wake (adopted child)
 
NIMEPIGA DESA SEHEMU

Wanandoa wasiwe maharimu
Maharimu ni watu walio na mahusiano ya karibu ya damu au kindugu.

Wawili wanaoamua kufunga ndoa wasiwe na uhusiano wa karibu kindugu.

Inakatazwa katika kifungu cha 14 cha Sheria ya ndoa ya mwaka
1971 mtu kuoa au kuolewa na mzazi wake, mtoto au mjukuu wake, kama ni dada yake, mama au shangazi au baba wa mjomba wake, baba au mama wa kambo na mwanaye aliyemfanya kuwa mtoto
wake (adopted child)

sasa ndo nitambue kuwa mke/mume sio ndugu si ndioo??
cc: miss chagga
 
Hapo mnabaki marafiki tu nothing else

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom