englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
<button class="modal-btn modal-close js-close" type="button">Close </button>
ili niweze kulala hapo lazima nizingatie hayaPa kawaida sana
Hapo unatakiwa usali sana kabla ya kulala!! Maana umeyafuata mwenyewe majini chini ya bahari
Vioo vikivunjika, sijui itakuwaje halafu uwe kwenye usingizi mzito
Sawa mkuu.Usiogope mkuu Siku ya kurudisha namba itakuwa imefika...samaki nao wajipendelee siku moja moja jamani eh kila siku mna wabwia wao tu. Na kilio chao hakina machozi basi ndiyo mwakosa hata huruma...Ijapokuwa sijui huo usingizi mzito utaupataje ilhali ushaonyesha dalili za kuogopa...
Kwa iyo icho kitanda, kutokana na thamani au gharama ya kujenga hicho chumba, kina hadhi ya kuwepo hapo?