Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Usiufumbie machoooooooo ukatili wa kijinsiaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
umbea tu ndo unaokusumbua!!
Wanafunzi wa sekondari, wanachuo na wale walio chini ya umri wa miaka 30 ndio wanaoongoza kwa vitendo vya uchoropoaji wa mimba. Na wengi wao wanagongwa na dokta mtoa mimba kwa kisingizio cha kulainisha njia.