Mkuu naona bado uko usingizini.hawezi kupambana na combination ya mboni mhita na sadifa wa Uvccm.Kama ni shule hata sadifa ana masters na wakili Anthoni Mavunde mjumbe wa baraza UVCCM anayo
Ana kazi sana kuongoza bavicha mwakani mbele ya hawa wadomi wa Uvccm.Kwa bahati nzuri mamluki wake paul makonda na akina felician tuliwadhibiti uvccm .hataweza dogo huyo
Unawezaje kuilinganisha BAVICHA na UVCCM?
Uwezo wa kamanda Heche ni mkubwa sana kufanya harakati za siasa kuliko mtu yoyote ndani ya CCM.
Kifupi UVCCM ilishakufa tangu mwaka 2007 kwenye uchaguzi wao wa ndani, huu uchaguzi wa juzi juzi ndani ya UVCCM ilikuwa ndio mazishi rasmi.
Yote kwa yote tutapima uwezo wao kwenye marudio ya uchaguzi wa Sumbawanga mjini.