Official Juma
Member
- Aug 1, 2019
- 10
- 0
Jaman naomba msaada kuna chuo nimechaguliwa lakin system yao inagoma kuCANCEL ADMISSION na mm stak kusoma hcho chuo, nmewasiliana nao et ndo mfumo wao ulivyo huwez kucancel nifanye nn ili nisisome hapo???
Nakushauri usikanseli lkn omba kingine pia siovby kama watakuchagua kingine manake utakua multiple zen utocomfem kimoja but unaweza uka cancel mwish wasiku ukaomba chuo kingine wasikuchague ukakosa vyoteWakuu mimi nataka nicancel alafu niombe kingine, sasa naogopa kukosa kabisa. je kuna uwezekano nikaona vyuo vyenye nafasi??
Omba kingine lkn kwaushauri usicancelJaman naomba msaada kuna chuo nimechaguliwa lakin system yao inagoma kuCANCEL ADMISSION na mm stak kusoma hcho chuo, nmewasiliana nao et ndo mfumo wao ulivyo huwez kucancel nifanye nn ili nisisome hapo???
Inaniambia nimeshachaguliwa so kama nataka niaply upya ni lazima nicancelOmba kingine lkn kwaushauri usicancel
mie enyewe nimeoata mocu na suaMm nimepata full admission mocu na nimechaguliwa udsm kama nispo confirm si watanifuta wenyew
Eti SITAKI KUSOMA HAPO bila kuwachagua wamefikaje kwenye profile yako?,jibu kwanza hiliJaman naomba msaada kuna chuo nimechaguliwa lakin system yao inagoma kuCANCEL ADMISSION na mm stak kusoma hcho chuo, nmewasiliana nao et ndo mfumo wao ulivyo huwez kucancel nifanye nn ili nisisome hapo???
Confirm kimojawapomie enyewe nimeoata mocu na sua
Duuu basi sawa kama ikoivo manake mim walinichagua direct sababu nilipata chuo kimoja nkaomba tena nkizan nawez Pata tenaHamna mkuu hawez chaguliw tena mana ukisha confime inamana tayal jina lako linakua TCU so hawawez kukuchagua tena wakat umeshachaguliw