cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,670
- 78,171
Anafaa kwa sasa
Upo makini1. Dk. Magufuli kura 1560.
2. Dk. Migiro kura 702.
3. Balozi Amina kura 349.
Yap
ndoto za ukawa zitakuwa zimefutika ghafla!Magufuli atashinda uchaguzi asubuhi kabisa bila zengwe lolote!Wajumbe ni zaidi ya 2400,hakuna zilizoharibika??!!
CCM haijawahi kuwa na kura ya haki,ni usanii tu,iwe bungeni,chamani na mitaani,full fitina na figisufigisu za kuhalalisha ushindi
Sasa nitatembea kifua mbele
Ukawa njia Nyeupe.
Mbn hizo kura zinazidi idadi ya wajumbe? Acheni uongo
Mkuu COARTEM, thanks for info, na hii ndio the power of jf, be the first to know!.
Pasco
Ukawa wameshasambaratika
Wajumbe ni zaidi ya 2400,hakuna zilizoharibika??!!
CCM haijawahi kuwa na kura ya haki,ni usanii tu,iwe bungeni,chamani na mitaani,full fitina na figisufigisu za kuhalalisha ushindi
Hapo ukawa imekula kwenu!!
Ni Mwananchi yupi asiyejua utendaji wa Magufuli????
Hapo hata muungane na Zitto mumchukue na Lowasa!
Magufuli ni kiboko yenu!
Ukawa njia Nyeupe.
Sasa nitatembea kifua mbele
Kutoka mtu wa ndani kabisa matokeo ya uchaguzi wa CCM ni kama ifuatavyo:
1. Dr John Pombe Magufuli >>>>>> kura 1560
2. Dr Asha Rose Migiro >>>>>>>>> kura 702
3. Amina Salum Ali >>>>>>>>>>>> kura 349
Officially Magufuli is a presidential candidate for CCM.
[h=2]1. Dr John Pombe Magufu >>>>>> kura 1560 2. Dr Asha Rose Migiro >>>>>>>>> kura 702 3. Amina Salum Ali >>>>>>>>>>>> kura 349[/h]soma zaidi hapa>>>>>
[h=2]UNCOMFIRMED:JOHN POMBE MAGUFULI AIBUKA KIDEDEA KIPEPERUSHA BENDERA YA URAIS CCM 2015[/h]