Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,065
- 18,035
Mkuu,michakato ya kibongo mingi hasa hii ya ki ccm huwa inaendeshwa kwa imani za kishirikina,ndiyo maana uwazi kwao huwa mwiko.Hizo kura unazodai kapata ni kapata kweli au zimepikwa tu?
Maana mkutano wenyewe uliahirishwa ghafla tu kana kwamba tayari walikuwa washapanga kwamba hawatazihesabu hizo kura papo kwa hapo.....