Uncle, nitafanya maajabu ukweni

Uncle, nitafanya maajabu ukweni

kwa nini unasema maneno makali hivi?
Kwa sababu we ni mkorof huna uvumilivu kama ulishindwa mbele ya wageni na ndugu zake alafu bado anajilazimisha kukupa taarifa .... i know what next in your mariage any way let me pray for good and not bad.... ila kwa mtazamo wangu bibie angetakiwa awe come.
 
Unaweza ukatajiwa mahari kidogo lakini mablanketi ya mabibi mavitu ya wajomba na mashangazi ukajikuta unakamuliwa.
 
Kwa sababu we ni mkorof huna uvumilivu kama ulishindwa mbele ya wageni na ndugu zake alafu bado anajilazimisha kukupa taarifa .... i know what next in your mariage any way let me pray for good and not bad.... ila kwa mtazamo wangu bibie angetakiwa awe come.

yeye ndo kafika kwa taarifa yako.
 
Kwani mie uliniuliza ili iweje?

ukweni nitaulizaje swali kama hilo? tifu la barua limetosha, unataka niibue mengine, hapa tu gharama ya kwenda huko ni balaa, unataka nichokoze moto nitakiwe kurudi tena?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom