Uncle, nitafanya maajabu ukweni

Uncle, nitafanya maajabu ukweni

Inategemea...kama wife ana mshahara 2.5...kuna shida gani ukitoa mahali 3m...inawezekana umewanyang'anya cash cow wao
 
dah mie napendaga vituko vyako kama "muvi" vile...wakileta za kulata rusha makunde wawil mattatu hahahahaah(kiding)
 
9b4ca-tanzania-king-majuto.jpg
 
Poa.
Mkeo ana ajira?

ndiyo, kwani kuna mtu hana ajira? labda ungeuliza ajira gani, hata kijana aliyepo nyumbani tu ana ajira ile ya kutumwa hapa na pale na kusaidia kazi za nyumbani.
 
ndiyo, kwani kuna mtu hana ajira? labda ungeuliza ajira gani, hata kijana aliyepo nyumbani tu ana ajira ile ya kutumwa hapa na pale na kusaidia kazi za nyumbani.

Unaongea sana.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom