Unbelievable: Kumbe mke wangu ni JF Premium member!!

New2JF

Senior Member
Oct 25, 2011
123
27
Jamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu ni JF member tena ni PREMIUM member!!!! Aliacha laptop kitandani akatoka kwenda kumtuliza mtoto uani, nikataka kuangalia email zangu, ile hamad...webpage ya jamii forums...haa!!! ndio nikaona ID anayotumia humu!!!. Bahati nzuri hajawahi kutoa comment katika posts zangu na wala mimi sijawahi fanya hivyo. Yaani hata sasahivi yuko kazini ila yupo online na namuona na nasoma comment zake hapa!!!

Nimejiapiza sitamuambia kabisa... na pia hata kukiwa na vikao vya JF sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!

Afadhali nimefahamu hili.
 
Jamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu ni JF member tena ni PREMIUM member!!!! Aliacha laptop kitandani akatoka kwenda kumtuliza mtoto uani, nikataka kuangalia email zangu, ile hamad...webpage ya jamii forums...haa!!! ndio nikaona ID anayotumia humu!!!. Bahati nzuri hajawahi kutoa comment katika posts zangu na wala mimi sijawahi fanya hivyo. Yaani hata sasahivi yuko kazini ila yupo online na namuona na nasoma comment zake hapa!!!

Nimejiapiza sitamuambia kabisa... na pia hata kukiwa na vikao vya JF sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!

Afadhali nimefahamu hili.
Sasa mbona unatuwekea hapa wakati umeshalifanya nila kifamilia? au unataka tukuingile kama magamba yanavyo muingilia Dr Slaa na Mchumba wake Josphine ambao soon watakuwa mke na mume?
 
Hii hadithi ya Sungura na Fisi kamu hadithie huyo mtoto wako huko uani.
 
Jamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu ni JF member tena ni PREMIUM member!!!! Aliacha laptop kitandani akatoka kwenda kumtuliza mtoto uani, nikataka kuangalia email zangu, ile hamad...webpage ya jamii forums...haa!!! ndio nikaona ID anayotumia humu!!!. Bahati nzuri hajawahi kutoa comment katika posts zangu na wala mimi sijawahi fanya hivyo. Yaani hata sasahivi yuko kazini ila yupo online na namuona na nasoma comment zake hapa!!!

Nimejiapiza sitamuambia kabisa... na pia hata kukiwa na vikao vya JF sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!

Afadhali nimefahamu hili.

Inategemea mke wako unamchulia kama nani, kama unamchulia as house wife atakuwa hivyo, msomi na mwelewa atakuwa hivyo,mwenzako atakuwa hivyo, kwa ajili ya kulea tu atakuwa hivyo, sasa twambie ulikuwa unamchukuliaje?
 
Safi sana.... Ukiona hivyo, ujue mkeo anashiriki kulijenga taifa kwa mawazo/post/comment zake hapa JF!! Mi mwenyewe nikioa ntamshauri wyf wangu ajiunge na awe anachangia ili ajue jinsi nchi inavyoenda na ajifunze kujenga HOJA!!
 
khaaaaaaaaaaaa! kwani hii nayo ni siasa??? nimesema naipenda jf! mwenye hasira akajmwagie tindikali khaaaaaaaaa! we kaka u have completed my afternoon! kha!
 
Sasa sisi unatueleza habari hizi tufanye nini mbona JF imeingiliwa hivi jamani ? Vichwa vya panzi nao wako humu hata hawa elewi kwa nini wako humu.
 
Jamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu ni JF member tena ni PREMIUM member!!!! Aliacha laptop kitandani akatoka kwenda kumtuliza mtoto uani, nikataka kuangalia email zangu, ile hamad...webpage ya jamii forums...haa!!! ndio nikaona ID anayotumia humu!!!. Bahati nzuri hajawahi kutoa comment katika posts zangu na wala mimi sijawahi fanya hivyo. Yaani hata sasahivi yuko kazini ila yupo online na namuona na nasoma comment zake hapa!!!

Nimejiapiza sitamuambia kabisa... na pia hata kukiwa na vikao vya JF sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!

Afadhali nimefahamu hili.

mimi ndie niliyemfungulia acc. JF
 
Kwa hiyo hii ni habari ya siasa?

Mods tunaomba iende jukwaa la mahusiano.
 
Jamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu ni JF member tena ni PREMIUM member!!!! Aliacha laptop kitandani akatoka kwenda kumtuliza mtoto uani, nikataka kuangalia email zangu, ile hamad...webpage ya jamii forums...haa!!! ndio nikaona ID anayotumia humu!!!. Bahati nzuri hajawahi kutoa comment katika posts zangu na wala mimi sijawahi fanya hivyo. Yaani hata sasahivi yuko kazini ila yupo online na namuona na nasoma comment zake hapa!!!

Nimejiapiza sitamuambia kabisa... na pia hata kukiwa na vikao vya JF sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!

Afadhali nimefahamu hili.

Aisee, wewe Mkeo! ..... mie, Pastor wangu....sasa ivi amenunua ipod saaaaaafi antiririkia tu ndani ya JF BRAVOOO
 
jamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu ni jf member tena ni premium member!!!! Aliacha laptop kitandani akatoka kwenda kumtuliza mtoto uani, nikataka kuangalia email zangu, ile hamad...webpage ya jamii forums...haa!!! Ndio nikaona id anayotumia humu!!!. Bahati nzuri hajawahi kutoa comment katika posts zangu na wala mimi sijawahi fanya hivyo. Yaani hata sasahivi yuko kazini ila yupo online na namuona na nasoma comment zake hapa!!!

Nimejiapiza sitamuambia kabisa... Na pia hata kukiwa na vikao vya jf sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!

afadhali nimefahamu hili.
hapo kwenye red mbona una post 100 tu?!!!
 
Ebu soma PM zake kama hujaona PM chungu,huo u-premium amelipiwa bhana.
 
ingia chit-chat uone kama hajakua anachangamkia wanaume kule maana kuna wanaume jf wao kwa totoz kule chit chat hawajambo:happy:
 
Jamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu ni JF member tena ni PREMIUM member!!!! Aliacha laptop kitandani akatoka kwenda kumtuliza mtoto uani, nikataka kuangalia email zangu, ile hamad...webpage ya jamii forums...haa!!! ndio nikaona ID anayotumia humu!!!. Bahati nzuri hajawahi kutoa comment katika posts zangu na wala mimi sijawahi fanya hivyo. Yaani hata sasahivi yuko kazini ila yupo online na namuona na nasoma comment zake hapa!!!

Nimejiapiza sitamuambia kabisa... na pia hata kukiwa na vikao vya JF sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!

Afadhali nimefahamu hili.

Sasa hii ungepeleka jukwaa la hoja au chitchat..hapa sio mahala pake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom