New2JF
Senior Member
- Oct 25, 2011
- 123
- 27
Jamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu ni JF member tena ni PREMIUM member!!!! Aliacha laptop kitandani akatoka kwenda kumtuliza mtoto uani, nikataka kuangalia email zangu, ile hamad...webpage ya jamii forums...haa!!! ndio nikaona ID anayotumia humu!!!. Bahati nzuri hajawahi kutoa comment katika posts zangu na wala mimi sijawahi fanya hivyo. Yaani hata sasahivi yuko kazini ila yupo online na namuona na nasoma comment zake hapa!!!
Nimejiapiza sitamuambia kabisa... na pia hata kukiwa na vikao vya JF sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!
Afadhali nimefahamu hili.
Nimejiapiza sitamuambia kabisa... na pia hata kukiwa na vikao vya JF sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!
Afadhali nimefahamu hili.