ingia chit-chat uone kama hajakua anachangamkia wanaume kule maana kuna wanaume jf wao kwa totoz kule chit chat hawajambo:happy:
Jamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu ni JF member tena ni PREMIUM member!!!! Aliacha laptop kitandani akatoka kwenda kumtuliza mtoto uani, nikataka kuangalia email zangu, ile hamad...webpage ya jamii forums...haa!!! ndio nikaona ID anayotumia humu!!!. Bahati nzuri hajawahi kutoa comment katika posts zangu na wala mimi sijawahi fanya hivyo. Yaani hata sasahivi yuko kazini ila yupo online na namuona na nasoma comment zake hapa!!!
Nimejiapiza sitamuambia kabisa... na pia hata kukiwa na vikao vya JF sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!
Afadhali nimefahamu hili.
Duuu hiyo kali, nilikuwa pale ofisini kwa mke wako naye akaniambia amekushtukia wewe JF member ila hajakuambia! Nilicheka sana na akashtuka akaniuliza mbona nacheka nikamwambia ni vile unavyosema amegundua mume wake yupo JF na hutaki kumwambia. Ila yeye alisema mume wake anaonekana kuponda sana mada zikimkalia vibaya!! Sasa sijui utaamua kumwambia au vipiJamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu ni JF member tena ni PREMIUM member!!!! Aliacha laptop kitandani akatoka kwenda kumtuliza mtoto uani, nikataka kuangalia email zangu, ile hamad...webpage ya jamii forums...haa!!! ndio nikaona ID anayotumia humu!!!. Bahati nzuri hajawahi kutoa comment katika posts zangu na wala mimi sijawahi fanya hivyo. Yaani hata sasahivi yuko kazini ila yupo online na namuona na nasoma comment zake hapa!!!
Nimejiapiza sitamuambia kabisa... na pia hata kukiwa na vikao vya JF sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!
Afadhali nimefahamu hili.
Jamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu ni JF member tena ni PREMIUM member!!!! Aliacha laptop kitandani akatoka kwenda kumtuliza mtoto uani, nikataka kuangalia email zangu, ile hamad...webpage ya jamii forums...haa!!! ndio nikaona ID anayotumia humu!!!. Bahati nzuri hajawahi kutoa comment katika posts zangu na wala mimi sijawahi fanya hivyo. Yaani hata sasahivi yuko kazini ila yupo online na namuona na nasoma comment zake hapa!!!
Nimejiapiza sitamuambia kabisa... na pia hata kukiwa na vikao vya JF sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!
Afadhali nimefahamu hili.
Sasa hii thread nayo ni ya kuwa kny jukwaa la siasa!!!!
Hivi hata umemba wa jf mnafichana?
Na wasiwasi na ndoa yenu.
Shangaa na wewe ndugu yangu! Mfano hapa mmoja ameshajua ID ya mwenzie, si waambizane tu? Yaani mtu anaogopa hadi kukutana na wanajf kisa mkewe ni member? Mmmmh.....!!!
Mambo yaajabu kabisa...
Hata ID za jf?
Ndoa hizi hazina hata mvuto.
Jamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu ni JF member tena ni PREMIUM member!!!! Aliacha laptop kitandani akatoka kwenda kumtuliza mtoto uani, nikataka kuangalia email zangu, ile hamad...webpage ya jamii forums...haa!!! ndio nikaona ID anayotumia humu!!!. Bahati nzuri hajawahi kutoa comment katika posts zangu na wala mimi sijawahi fanya hivyo. Yaani hata sasahivi yuko kazini ila yupo online na namuona na nasoma comment zake hapa!!!
Nimejiapiza sitamuambia kabisa... na pia hata kukiwa na vikao vya JF sitapenda kwenda maana ni mchangiaji mzuri sana wa mada humu!!!
Afadhali nimefahamu hili.
Samahani wana JF. Nilikosea kutuma hii post bahati mbaya. Ila lengo langu ni kuwashirikisha tu mambo ya kawaida kabisa na ambayo yapo na yanaweza kumtokea mwingine yoyote, usije kukuta mnao-comment wengine hamjuani kumbe ni ''couples''!!!