Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,288
Hata ulaya haiuzwi laki tano inauzwa kuanzia laki saba kasoro vi pesa kidogo
Nah acha mbwembwe plain nimetoka kuichek 400+ how comes hiyo iwe 700
Hata ulaya haiuzwi laki tano inauzwa kuanzia laki saba kasoro vi pesa kidogo
Kwa bongo ni 500k kuendelea na Pro ni 700k kuendelea. Nje ndio zinauzwa laki 4 na kitu, na Pro inauzwa laki 6 na kitu.Nah acha mbwembwe plain nimetoka kuichek 400+ how comes hiyo iwe 700
Mzee kako njem sana ka note 10 mzeeKwa bongo ni 500k kuendelea na Pro ni 700k kuendelea. Nje ndio zinauzwa laki 4 na kitu, na Pro inauzwa laki 6 na kitu.
kama ni 400+ basi Memory ni 68 gb, mimi nimenunua Note 10 plain 128 gb Mlimani city 550kNah acha mbwembwe plain nimetoka kuichek 400+ how comes hiyo iwe 700
Note 10 hakuna ya 68 ni 64 na hio bei. Ni kubwa mno ni 470 hivi kwa 128 ila duniani huko ulimwengu wa kwanza ebu sema unaionaje simu lakini kiongozikama ni 400+ basi Memory ni 68 gb, mimi nimenunua Note 10 plain 128 gb Mlimani city 550k
Mkuu naitamani hiyo simu sana.Hivi bei Ya Xiaomi Note 10 Pro Global Version hapa Tz ni Tsh ngapi?
Vya kuzingatia vipo vingi ila baadhi ni hivi;
1. Kampuni, kwangu ni Samsung afu nataka niingie Xiaomi pia.
2. Bei, sina uwezo mkubwa kiuchumi hivyo bei zangu ni kuanzia 500k hadi 800k, ila isiwe chini ya laki 4 maana simu za ovyo nyingi ziko kwenye hili kundi.
3. Muda, hapa naangalia hii simu ina muda gani tangu itoke dukani, mara nyingi napenda kununua simu yenye muda mfupi tangu itoke kiwandani angalau isizidi miezi mitatu kuepuka uzalishaji wa kopi zake au feki. Hapa ni mawazo yangu ila sina utaalam sana.
4. Ubora wa camera, kwa samsung nilizotumia sina wasiwasi.
5. Screen, lazima kiwe SuperAmoled au bora zaidi ya hapo ila kikiwa TFT sijui LCD tayari kinakuwa kimeumana tayari, na kwa sbb hii ndo maana Tecno siwezi hata kuiota
6. Os- Android- Snapdragon.
7. Storage, angalau 64ROM, 3GBRAM, Sina shobo na 4G maana huku mikoani kwenyewe network shida.
8. Fingerprint isiwe nyuma ya simu, iwe onscreen au pembeni.
9. Muuzaji, nkitaka kununua simu napendelea zaidi kuchukua kwa mawakala au mtu anayefuata mzigo au kuagiza mwenyewe.
10. Mengineyo ntavumilia ila hadi nifanye uamuzi wa kwenda dukani nakuwa nimepitia sana mtandaoni kujiridhisha na sifa na mapungufu mbalimbali ya hiyo simu.
Naomba kuwasilisha.
Simu ni Kali sana..Sitegemei tena kurudi SamsungNote 10 hakuna ya 68 ni 64 na hio bei. Ni kubwa mno ni 470 hivi kwa 128 ila duniani huko ulimwengu wa kwanza ebu sema unaionaje simu lakini kiongozi
Samsung tatizo simu zenye ubora mdogo bado ziko bei juu tofauti na Xiaomi simu Kali bei ya kawaida Tu kuanzia kamera kiooo ram chip inayotumia na hhaichemki kama jiko la jelaSimu ni Kali sana..Sitegemei tena kurudi Samsung
Pole. Ulichelewa sana kufaidi mie ata kampuni ikifa sina la kujutia nimefaidi sana bidhaa za xiaomi mzee je unabidhaa ingine ya xiaomiSimu ni Kali sana..Sitegemei tena kurudi Samsung
Samsung nzuri ni gharama sanaaSamsung tatizo simu zenye ubora mdogo bado ziko bei juu tofauti na Xiaomi simu Kali bei ya kawaida Tu kuanzia kamera kiooo ram chip inayotumia na hhaichemki kama jiko la jela
HahahahahaSamsung tatizo simu zenye ubora mdogo bado ziko bei juu tofauti na Xiaomi simu Kali bei ya kawaida Tu kuanzia kamera kiooo ram chip inayotumia na hhaichemki kama jiko la jela
Yes natumia Android TV Box ya Xiaomi piaPole. Ulichelewa sana kufaidi mie ata kampuni ikifa sina la kujutia nimefaidi sana bidhaa za xiaomi mzee je unabidhaa ingine ya xiaomi
Nunua kila kitu adi vikombe utanishukuru baadaeYes natumia Android TV Box ya Xiaomi pia